Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.
Umemnukuu vibaya sanaAnakataaa takwimu zilizotolewa na tume zilizopita kuwa ni historia tu....na ndio maana Serikali tatu hakuna
Pamoja sana MkuuWassira tume ya Warioba haikupewa kazi ya kuandika katiba. Tundu Lissu anakataa rufani. Kama tume zilizopita zilipendekeza S3, mbona S3 hazikupatikana
Lissu anamsaidi Wasira kutafasiri sheria ya mabadiliko ya katiba.
Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.