Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Wapenzi wa UKAWA haupendi ukweli kuwa Mbowe amewadanganya.
 
Lipumba, BMk ni kurekebisha na kuboresha rasimu. Kazi ya BMK sio kunyonga moyo wa rasimu
 
Kazi ya bunge la katiba ni kurekebisha,kuboresha na kubadilisha
 
Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.

Dhaifu wa fikra ww.
 
Wassira nimempenda bure pamoja na kuwa sikubaliani na hoja zake, Mzee anajua kutetea hoja zake.
 
Lipumba - Kazi ya BMK ni kuangalia namna ya kutekeleza maoni ya wananchi.
Wananchi wanataka serikali tatu, kazi BMK ni kuangalia hizi serikali tatu ziweje.
 
Rose Mwakitwange hampi mda sawa Tundu Lissu anawapendelea Wasira na Lipumba
 
Hopeless Wassira. Eti moyo uko wapi, imeandikwa wapi moyo huku kwenye rasimu??
Ana akili kweli huyu??
 
Kumbe lissu uelewa wake Wa kisheria in mdogo sana zaidi amebobea kwenye nadharia tu
 
Wassira, Lipumba alishaandika kuwa paper kuhusu gharama za kuendesha serikali tatu. Sasa anajikanyaga na anayoongea ni kuboresha paper yake
 
Mie napenda 3s ila Wasira jembe anapambana na wawili!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom