Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Mkataba haumaanishi serikali tatu kama prof Lipumba alivyosema bali inamaanisha puwe na referendum kwa nchi washirika kama wanakubali muungano ,kuna wapemba wengi waishio bara kuliko Pemba-Wassira.
 
Wasira anasema Muuungano huu una manufaa hatuwezi kuuvunja. ni kweli
maana jinsi alivyo ni wazi anaonekana kunufaika na Muungano.
 
bang the table - hahahahahahah wasira unatuacha hoi - huyo Tundu Lisu hana jpya katika mdahalo huuu wajameni

Pro Lipumba kachemsha - hajui maana ya Muungano wa Mkataba

uzuri kila mtu anatizama,miCCM miongo mikubwa
 
Wananchi wana uelewa mkubwa sana kwa sasa, Wassira kila akijaribu kudanganya anazomewa !
 
acha kupotosha wewe nipo ukumbini hakuna kitu kama hicho usiwalishe watu mawazo ya wassira.
 
Wassira, uamuzi wa aina ya muungano tunayotaka itapatikana ndani ya Bunge. Anawataka Wajumbe wa ukawa kurejea bungeni
 
Wassira anazomewa, anasema uamuzi was S2 au S3 utapatikana ndani ya BMK
 
Jibu la mkato ni hivi...uamuzi wa kama ni serikali 2 au 3 utajulikana katika Bunge la katiba- Wasira a.k.a Tyson
 
SW: anasema uamuzh wa kupatikana serikali 3, 2, 1 au ya mkataba unapatikana ndani ya bunge sio barabarani, nawaombeni sana mrudi tukajadiliane kwa hoja.
 
Ndugu wanabodi,

Msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na ITV. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole.

Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo.

Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.

KARIBUNI

Tunafuatilia sana kamanda
 
Back
Top Bottom