Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.
anasema hatuwezi kuunda bunge la watu 600 linalolipwa pesa za walipa kodi mamilioni kwa mamilioni halafu halafu wakafanye kazi ya rubber stamp, hiyo itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali za taifa.
Watasema sana midahalo mingi mwisho wa siku wenye nguvu watashinda siasa ktk nchi zetu hizi mwenye nguvu hutawala. Yetu macho na maskio. Bora kutafuta maisha kuliko kuyafuatilia hayo. By the way tunawatakia Mema.
Tume ya nyalali ilipendekeza s3...kisanga s3.....g55 s3....hivyo kusema wananchi hawataki Serikali tatu ni uongo.....anampiga dongo wassira kuwa hata akiulizwa kuna nchi ngapi hapa kwetu hawezi kujibu.....anapata makofi mengi
TL: anafafanua hoja za wasira,anasema sheria ya RKM iliipa tume mamlaka kupitia mambo yote yaliyozungumzwa katika tume zilizopita tangu mwaka 1972 mpaka sasa walidokeza muundo gani wa serikali?
Tangu tume ya nyalali, kisanga, G55 na wengineo.
Anapigia chapuo muundo wa serikali 3.
Ndg yang mdogo wang, kama serikal ya ccm wapo tayar kwa chochote tunahtaj wananch kwann JK na wabunge wake wawatshie wananch uwepo wa serikal 3 ni kuleta machafuko nchn?
Wasira ni muongo, mnafiki, na mzandiki aliyekosa utu na uzalendo...watu dizaini za wasira wangekuwa nchi za falme za kiarabu adhabu yao ingekuwa kunyongwa
Wassira anasisitiza tume haikupewa kazi ya kuandika katiba....ila BMK la katiba ndio inaweza kufanya kazi hiyo. ..hivyo hawawezi kusoma tu rasimu bila kuifanyia marekebisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.