Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Maskini wasira namuonea huruma. Kila akisimama anazomewa na badala ya kujibu anawasbulia ukawa..
 
Mambo yahusuyo muungano kwenye rasimu ya katiba hakuna gharama mpya, gharama mpya itakuwa kwenye mahakama ya juu tuu itakayoundwa na vitu vichache-Lipumba
 
Chagadema wameanza nguvu ya umma katika mdahalo wanafanya fujo ili Mh wasira asiwaadhiri ukawa. Kweli njia ya waongo fupi!; LISU kalowaaa! anatumia watu kufanya fujo.
 
Naona kuna wananchi wameanza kuuona ukweli. Wanapendekeza muundo wa serikali moja
 
OMG! Kwa mara ya kwanza leo ndio nimekubali madai ya muda mrefu kwamba Tundu Lissu ni mwongo! Haingii akilini kwamba kanuni za Rasimu ya Katiba Mpya zilibadilishwa baada ya UKAWA kuondoka!! Hoja nyepesi mno hii!!! Jamaa yuko "live" ITV.

Acha kutumika badilika na kuwa na upeo haya yaliongeleka na kwann waliamua kufanya kikao cha kanuni wakati washiriki wengine hawapo acha kuleta siasa hapa kumbuka ".... Mtaji wa mwanasiasa na watu na ikiwezekana na maisha ya hao watu..." Acha kutumika wewe
 
Tundu Lissu nilishiriki kutengeneza kanuni. CCM wslibadirisha kanuni baada ya UKAWA kutoka waliingiza kipengere kwa kuingiza sura mpya.

Tundu Lissu anawachana CCM wajumbe wanashangilia. CCM ndiyo ktk waraka wao wa siri walisema mundo wa S ndiyo moyo wa Rasimu

Tundu Lisu ni mambo 7 tu ya muungano. S2 zina gharama kubwa. Time ya pamoja ya fedha mapendekezo yake yamekataliwa.

TL ni nani aliwaambia mtoke bungeni, nyie mkitoka, wenzenu wasonga mbele. Asiyekuwepo na Lake Halipo!
 
Mdahalo unaendelea itv kuhusu je ni nani anataka kuzuia katiba mpya?. Mh Wasira anapata wakati mgumu kujibu maswali ya Lissu na Lipumba. Kama uko karibu angalia Itv.
 
Mambo ya kutaja taja wapemba ni ubaguzi..kuna wanyamwezi pia Pemba by Prof Lipumba.
 
Lipumba maeneo ya gharama mpya ni machache. Nchi wanachama watachangia kwa proportional eg 10% ya kila pato LA nchi wanachama
 
Serikali tatu si muarobaini wa ubadhirifu na gharama itakuwepo kwenye serikali 3 maana kutakuwa na viongozi wapya na vyombo vyake na Tanganyika itabebeshwa mzigo mkubwa wa uchumi kuigharamikia serikali ya 3 kuliko Zanzibar-Wassira
 
Back
Top Bottom