Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Juzi naona uliingia mitini wakati wa game ya City na Gunners.....Hope leo hautakimbia maana mpira ni dakika 90....

Usiwe muoga kiasi hicho....Matokeo yanaweza kubadilika kijana maana goli la mapema mara nyingi huwa halidumu....

COYYFC.....DMNM

Kumfariji mhimu, hata unajua anahali mbaya.!!
 
Wametangulia na baiskel ya barafu kwenye jua kali
 
Mbuyu Twite ingia hapo ukazibe nafasi ya Kelvin Yondani. Linatoka Jiwe kinaingia Chuma. Hii ndio Yanga.
 
Azam TV wameshindwa kuonyesha hii mechi.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom