Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Yanga ndo mpango mzima...............Lamba2 cha mtoto............
 
Yanga ndo mpango mzima...............Lamba2 cha mtoto............

Na bado yanga itatisha zaidi kwasababu ina wachezaji waliokaa muda mrefu pamoja. Ndio timu yenye wachezaji bora kabisa katika safu ya kiungo na beki na inawashambuliaji wakali zaidi.
Ninajisikia mwenye furaha kuwa sehemu ya familia hii kubwa ya wanayanga. Long life Dar Es Salaam Young Africans and God Bless U
 
Na bado yanga itatisha zaidi kwasababu ina wachezaji waliokaa muda mrefu pamoja. Ndio timu yenye wachezaji bora kabisa katika safu ya kiungo na beki na inawashambuliaji wakali zaidi.
Ninajisikia mwenye furaha kuwa sehemu ya familia hii kubwa ya wanayanga. Long life Dar Es Salaam Young Africans and God Bless U

Mkuu asante sana kwa hii post.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom