Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Mliokuwepo Uwanjani tupeni Updates, hata Picha wekeni mkiweza.
 
Leo mbona wale jamaa wa Simba Rage na Hans poppe 'aka' Masuke na ndetichia wanachungulia tu nakusepa?au tayari washapata matokeo nini?
 
Last edited by a moderator:
Leo mbona wale jamaa wa Simba Rage na Hans poppe 'aka' Masuke na ndetichia wanachungulia tu nakusepa?au tayari washapata matokeo nini?
Kufatilia taarifa zinazoletwa na mbeya ina hitaji moyo...vipi mmeshafika CUF, sikujua kama na wewe ni moja ya wapumbavu wenye viwanda vya umbeya....mara yanga kupata mil 504 kumbe umbeya mtupu mara viongozi wa simba walifoji sign ya ngasa yako wapi.... mil 45 na hata cheza mechi 6...
 
matokeo wanayajua, wanasubilia idadi ya magoli tu
jipe moyo
1175383_10201618758610205_578341149_n.jpg
 
Kufatilia taarifa zinazoletwa na mbeya ina hitaji moyo...vipi mmeshafika CUF, sikujua kama na wewe ni moja ya wapumbavu wenye viwanda vya umbeya....mara yanga kupata mil 504 kumbe umbeya mtupu mara viongozi wa simba walifoji sign ya ngasa yako wapi.... mil 45 na hata cheza mechi 6...
tetetetetetehhhhh analia huyoo..
 
Mwenzako maharage kalala chini ya sturi usku kucha baada ya kuskia anapelekwa caf na kilabu lake la wajinga kama sio kufutwa kabisa linaenda cheza ligi moja na tandale united
Kufatilia taarifa zinazoletwa na mbeya ina hitaji moyo...vipi mmeshafika CUF, sikujua kama na wewe ni moja ya wapumbavu wenye viwanda vya umbeya....mara yanga kupata mil 504 kumbe umbeya mtupu mara viongozi wa simba walifoji sign ya ngasa yako wapi.... mil 45 na hata cheza mechi 6...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom