Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Leo tumewakosaaa basi angalao hata goli tano, kama alivyo wafsnya binamu yao.
 
Ujinga kumfungia Ngassa kama alichukuwa pesa SSC basi pia aliitumikia msimu mzima Inakuwaje maamuzi ya upande Mmoja ya kukomowana?
 
Leo tumewakosaaa basi angalao hata goli tano, kama alivyo wafsnya binamu yao.

Mkuu kama ulikuwepo akilini mwangu, hawa Azam lazima apigwe tano harafu akauze Ving'amuzi vyake.
 
duuu hii kali sasa..
Juzi naona uliingia mitini wakati wa game ya City na Gunners.....Hope leo hautakimbia maana mpira ni dakika 90....

Usiwe muoga kiasi hicho....Matokeo yanaweza kubadilika kijana maana goli la mapema mara nyingi huwa halidumu....

COYYFC.....DMNM
 
Juzi naona uliingia mitini wakati wa game ya City na Gunners.....Hope leo hautakimbia maana mpira ni dakika 90....

Usiwe muoga kiasi hicho....Matokeo yanaweza kubadilika kijana maana goli la mapema mara nyingi huwa halidumu....

COYYFC.....DMNM

gooners waliaribu pre season yetu hatari..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom