ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
Nyie mna Ubingwa wa VPL?
Hao ubingwa kwao wasahau kabisa, kwa timu ipi? ya MOMBEKI???!!
Nyie mna Ubingwa wa VPL?
ushindi leo muhimu, ila ni 3 mkuu, hao ni wetu tu
Hao ubingwa kwao wasahau kabisa, kwa timu ipi? ya MOMBEKI???!!
Mkuu naona ulikua mbaaaaali sana!
Star Tv wanaweza kuonesha hii Game?
sina uhakika, ila hizi ndio mechi ziltakiwa kuoneshwa, kwan zina watazamaji wengi sana.
Star Tv wanaweza kuonesha hii Game?
Hii Game ya leo ilikuwa ni kwenda Kabisa uwanjani ila ndo hivyo tu shughuli zimetukamata.
No, kwa kuwa Azam
ndiye mwenyeji, mechi itaoneshwa Live kupitia Azam TV na itaonekana nchi
nzima kuanzia Mbamba Bay hadi Horiri na kutoka Mulongo hadi Kasumulu.
Huko vijijini kote msiwe na wasiwasi itaonekana barabara, hata wasio na
TV wataiona kupitia madirisha ya nyumba zao kwani Azam imepania kuleta
mageuzi makubwa ya soka hapa Tanzania.
kwa kuwa AZAM TV ndio ataonyesha ligi, basi ilitakiwa aanze na hii mechi ili kuonyesha kweli anaweza.
Duh! hiisasa dharau libolo tena? Hilo linawafaa majirani zako (Simba ruala)
Mkuu leo tunapiga
mjeledi 'mbwa' wakati mwenye mbwa (Simba) naye anasubiri bakora yake
katika wakati wake.
No, kwa kuwa Azam ndiye mwenyeji, mechi itaoneshwa Live kupitia Azam TV na itaonekana nchi nzima kuanzia Mbamba Bay hadi Horiri na kutoka Mulongo hadi Kasumulu. Huko vijijini kote msiwe na wasiwasi itaonekana barabara, hata wasio na TV wataiona kupitia madirisha ya nyumba zao kwani Azam imepania kuleta mageuzi makubwa ya soka hapa Tanzania.
Duh.!! Bongo siasa kila sehemu.!
Yes mkuu ntakuwepo!mkuu kuna jmaa yng anaoa chang'ombe, nimebanwa, hata taifa sidhan kama nitaenda, vp ww utakuwepo uwanjani?
Ndiyo habari ya mujini.Mkuu leo tunapiga mjeledi 'mbwa' wakati mwenye mbwa (Simba) naye anasubiri bakora yake katika wakati wake.