Chadema fungueni account CRDB tuweze kuchangia kwa ufasaha na umakini zaidi.wengine hizo Mpesa hatuna access nayo
Kakojoe ulale mkuu......naona ushatapika sana humu.....unatutafutia Ban tu...!!
Ukila ban badili sio ndio kazi yenu! Lakini inadhihirisha na kiasi gani mlivyo na mitindio ya ubongo
Chama
Gongo la mboto DSM
Kalale kaka......
Tafadhali....unachafua hali ya hewa humu...
Imebadilika tayari Mkuu, Inasomeka kama M4Ckamanda anasisitiza hawataogopa yaliyompata Ulimboka, nilipotea kidogo kuwastua wadau wa TV kuadjust Marathon Change, Mtanistua mnaoangalia kama imebadilika