Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 533
- 272
Huo ni mradi uliasisiwa ili kumuwezesha Lema aishi mjini.
unaakili za KIZEE kama jina lako.
Huo ni mradi uliasisiwa ili kumuwezesha Lema aishi mjini.
Mbona nilisikia kwamba zile Posho zinachukuliwa na viongozi ili kuiwezesha M4C... Hivi wabunge wetu wanazitumia vipi fedha zao ya posho za kukaa (sitting allowance) ambazo hawakutaka kuzichukua..
sasa mbona nasikia Makamu wa rais kaenda futulisha hapo?
We unafikiri ni nani aliyeanzisha?????
Utasikia Kova amezuia Harambee kwa sababu kuna shughuli inayoongozwa na Mamau wa Rais hapo na kwa hiyo Askari hawatoshi...Si unajua Kova asivyo na aibu?Na wapo pia wageni wamelala hapo, Hakuna tatizo Mkuu kumbi ni nyingi serena, wanakofuturu kwingine Hall la M4C kwingine. Muhimu ni mchango wako
Utasikia Kova amezuia Harambee kwa sababu kuna shughuli inayoongozwa na Mamau wa Rais hapo na kwa hiyo Askari hawatoshi...Si unajua Kova asivyo na aibu?
Naomba leo Zitto awepo. Sio anakimbilia kwenye LEKA DUTIGITE na interview za redio kila siku
Yeye yupo kwenye mikakati mingine MkuuNaomba leo Zitto awepo. Sio anakimbilia kwenye LEKA DUTIGITE na interview za redio kila siku
huo ni mradi uliasisiwa ili kumuwezesha lema aishi mjini.
mbona we unauza MKU.NDU ili kuishi mjini..hatusemi !
Huo ni mradi uliasisiwa ili kumuwezesha Lema aishi mjini.