inabidi waandike neno CHADEMA kwa capital letters tupu kwani kwa small leta haitafika hyo sms,let them inform those at startv
hizi ni propanganda za kijinga na kwa uelewa wa watanzania mtabakia hivyo hivyo...kwani lema kabla hajawa mbunge alikuwa anakula kwa mama yako au kwa shangazi yako...m4c itawamaliza...
Sijaelewa ni kina nani walikuwa wamepanga hii kitu.. I don't understand it and I really won't try to.
unaimanisha nini mkuu kwamba ukiandika kwa herufi ndogo pesa itaenda kwa mwingine.
Watu walio nje ya nchi tunasikiliza Arusha Mambo but atujui jinsi ya kuchangia, mwy kujua atujuze
[/B]