excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,921 miss neddy said: Excel said: ohooooo taratibu king Excel anzia chini na kavitz kwanza si wawajua wana cc wasije sema wauza sembe china Click to expand... ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja? hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!! Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
miss neddy said: Excel said: ohooooo taratibu king Excel anzia chini na kavitz kwanza si wawajua wana cc wasije sema wauza sembe china Click to expand... ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja? hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!! Click to expand...
Miss Neddy JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 14,684 Reaction score 8,754 Feb 26, 2014 #2,922 Excel said: miss neddy said: ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja? hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!! Click to expand... hahahahahaha mhhhhhhh anyway wacha nikukabidhj hilo jukumu la kunichagulia aina iendanayo nami huko show room Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Excel said: miss neddy said: ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja? hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!! Click to expand... hahahahahaha mhhhhhhh anyway wacha nikukabidhj hilo jukumu la kunichagulia aina iendanayo nami huko show room Click to expand...
charty JF-Expert Member Joined Oct 28, 2013 Posts 7,460 Reaction score 6,001 Feb 26, 2014 #2,923 Excel said: bebi wangu ni mzuri jamani sijaona...!! she is more than a queen!! yani akitembea najisikia napulizwa na feni ndani ya joto hili la manzese! Click to expand... hahah LMFAO!..
Excel said: bebi wangu ni mzuri jamani sijaona...!! she is more than a queen!! yani akitembea najisikia napulizwa na feni ndani ya joto hili la manzese! Click to expand... hahah LMFAO!..
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,924 charty said: hahah LMFAO!.. Click to expand... nimekuja sasa, niambie sasa mbona husogei karibu Zaidi, nataka nikunong'oneze kidogo
charty said: hahah LMFAO!.. Click to expand... nimekuja sasa, niambie sasa mbona husogei karibu Zaidi, nataka nikunong'oneze kidogo
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,925 charty said: hahah LMFAO!.. Click to expand... naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha?
charty said: hahah LMFAO!.. Click to expand... naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha?
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,926 Excel said: naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha? Click to expand... nasababisha ki slow motion, subiri mpaka uone kalegea ndiyo uje uchungulie..
Excel said: naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha? Click to expand... nasababisha ki slow motion, subiri mpaka uone kalegea ndiyo uje uchungulie..
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,927 kiwatengu said: nasababisha ki slow motion, subiri mpaka uone kalegea ndiyo uje uchungulie.. Click to expand... hahahaaaaa!!! aisee mbona wanivutia? we noma mzee.. ila angalia usijisahau! hakana ujanja tena haka ka njiwa kako!
kiwatengu said: nasababisha ki slow motion, subiri mpaka uone kalegea ndiyo uje uchungulie.. Click to expand... hahahaaaaa!!! aisee mbona wanivutia? we noma mzee.. ila angalia usijisahau! hakana ujanja tena haka ka njiwa kako!
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,928 Excel said: hahahaaaaa!!! aisee mbona wanivutia? we noma mzee.. ila angalia usijisahau! hakana ujanja tena haka ka njiwa kako! Click to expand... ni kweli. mitego nimeiweka njema kabisa..
Excel said: hahahaaaaa!!! aisee mbona wanivutia? we noma mzee.. ila angalia usijisahau! hakana ujanja tena haka ka njiwa kako! Click to expand... ni kweli. mitego nimeiweka njema kabisa..
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,929 kiwatengu said: ni kweli. mitego nimeiweka njema kabisa.. Click to expand... we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!!
kiwatengu said: ni kweli. mitego nimeiweka njema kabisa.. Click to expand... we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!!
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,930 Excel said: we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!! Click to expand... niteme yaishie chini. namsubiri hapa kwanza..
Excel said: we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!! Click to expand... niteme yaishie chini. namsubiri hapa kwanza..
charty JF-Expert Member Joined Oct 28, 2013 Posts 7,460 Reaction score 6,001 Feb 26, 2014 #2,931 kiwatengu said: nimekuja sasa, niambie sasa mbona husogei karibu Zaidi, nataka nikunong'oneze kidogo Click to expand... ah!am here,ninöng'oneze sasa!
kiwatengu said: nimekuja sasa, niambie sasa mbona husogei karibu Zaidi, nataka nikunong'oneze kidogo Click to expand... ah!am here,ninöng'oneze sasa!
charty JF-Expert Member Joined Oct 28, 2013 Posts 7,460 Reaction score 6,001 Feb 26, 2014 #2,932 Excel said: naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha? Click to expand... mhhh Excel unaitwa na mkeo kitandan akakupge na kibakora hahah!
Excel said: naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha? Click to expand... mhhh Excel unaitwa na mkeo kitandan akakupge na kibakora hahah!
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,933 charty said: ah!am here,ninöng'oneze sasa! Click to expand... naona mnaongea kizee zeee!! hahahaaaa!! charty i want to see your cheche now!
charty said: ah!am here,ninöng'oneze sasa! Click to expand... naona mnaongea kizee zeee!! hahahaaaa!! charty i want to see your cheche now!
charty JF-Expert Member Joined Oct 28, 2013 Posts 7,460 Reaction score 6,001 Feb 26, 2014 #2,934 Excel said: we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!! Click to expand... usimfundshe mkwez kuangua naz!hehe
Excel said: we nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!! Click to expand... usimfundshe mkwez kuangua naz!hehe
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,935 charty said: ah!am here,ninöng'oneze sasa! Click to expand... ile nanii umeipata? ile nliokutumia
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,936 charty said: usimfundshe mkwez kuangua naz!hehe Click to expand... we nawe mchangamshe mzee bana..! muwashe hata kikofi cha utani! hahahaaaa!! nangoja hicho kikofi!
charty said: usimfundshe mkwez kuangua naz!hehe Click to expand... we nawe mchangamshe mzee bana..! muwashe hata kikofi cha utani! hahahaaaa!! nangoja hicho kikofi!
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,937 Excel said: naona mnaongea kizee zeee!! hahahaaaa!! charty i want to see your cheche now! Click to expand... uchochezi weka pembeni wewe. niache na wngu
Excel said: naona mnaongea kizee zeee!! hahahaaaa!! charty i want to see your cheche now! Click to expand... uchochezi weka pembeni wewe. niache na wngu
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,938 charty said: mhhh Excel unaitwa na mkeo kitandan akakupge na kibakora hahah! Click to expand... kwa tafsida tu, hujambo! hebu mpige kiwa t tuone na wewe!
charty said: mhhh Excel unaitwa na mkeo kitandan akakupge na kibakora hahah! Click to expand... kwa tafsida tu, hujambo! hebu mpige kiwa t tuone na wewe!
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 26, 2014 #2,939 kiwatengu said: uchochezi weka pembeni wewe. niache na wngu Click to expand... aaah! mi mzee unadhani niko hapo.. walaaa!! jipeni shida wenyewe huko... ila mkiishiwa pesa, usisite kumwambia charty anibeep kwa m-pesa! sawa eenh? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kiwatengu said: uchochezi weka pembeni wewe. niache na wngu Click to expand... aaah! mi mzee unadhani niko hapo.. walaaa!! jipeni shida wenyewe huko... ila mkiishiwa pesa, usisite kumwambia charty anibeep kwa m-pesa! sawa eenh?
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,845 Feb 26, 2014 Thread starter #2,940 Excel said: aaah! mi mzee unadhani niko hapo.. walaaa!! jipeni shida wenyewe huko... ila mkiishiwa pesa, usisite kumwambia charty anibeep kwa m-pesa! sawa eenh? Click to expand... si tunakula raha natural hayo ma MPesa unayajua wewe, ahh hivi unadhani kumbatio la charty ni la kitoto? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Excel said: aaah! mi mzee unadhani niko hapo.. walaaa!! jipeni shida wenyewe huko... ila mkiishiwa pesa, usisite kumwambia charty anibeep kwa m-pesa! sawa eenh? Click to expand... si tunakula raha natural hayo ma MPesa unayajua wewe, ahh hivi unadhani kumbatio la charty ni la kitoto?