Live sex in Big Brother star game!!

Live sex in Big Brother star game!!

osokonoi

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2008
Posts
1,246
Reaction score
399
LUKE WA LIBERIA NA JESSICA WA NAMIBIA WAMEFANYANA!!
luke & jessica.jpg

Kwa wale wanaofuatialia reality show ya Big Brother ambayo kwa mwaka huu imepewa kilemba cha kuitwa Star game wanafahamu kwamba jana ilikuwa ni siku ya 13 tangu show hiyo ianze. Mimi siyo mtaalamu wa saikolojia wala mabadiliko ya kimwili yanayoendana na hisia za-kimapenzi, ila tu sielewe kama kilichotokea jana kinaweza kuwa kimesababishwa na siku 13 za kufungiwa ndani! Baada ya mishughuliko ya kutwa nzima, jana nikiwa nimejipumzisha kwenye kochi nilibonyeza rimoti yangu ya DStv ili kunifungulia channel 198/197. Moja ya sababu ya kuwa na shauku la kuangalia BBA kwa siku ya jana ni ili kufahamu hali ikoje kwenye jumba la Downville hasa baada ya wanaijeria wawili (Chris na Ola) kuamua kujitoa kutokana na sababu za kiafya. Mawazoni mwangu nilifikiri hali itakuwa ni ya kupooza…duuh, kilakitu kilikuwa ni kinyume. Kila mtu alikuwa amechangamka kuliko kawaida. Mpaka kuna wakati nikahisi labda wale jamaa walioondoka walikuwa wakiwanyima pumzi kiana!
Chakushangaza nilichokugundua ni hali ya watoto wakike kuwa horny na kuonyesha hali hiyo waziwazi. Hapo juu nimetaja kwamba jana ilikuwa ni siku ya 13 toka idadi ya watu wasiopungua 28 kufungiwa downville. Sasa sina hakika kama uvumilivu umeisha washinda na sasa kila mtu anataka penzi bila kujali kamera zinazowamulika na kurusha live kila kinachotokea.
Hali ya pilika ilikuwa ikiendele huku wengine wakitaniana, wengine wakipika na kula, wengine wakivuta sigara…kubusu nk. Jessica 21, mwakilishi wa Namibia na Luke 26, mwakilishi wa Liberia, walikuwa wamelala pamoja kwenye kitanda huku wakiwa wamejifunika blanket. Kwa muda wote hawakuonekana kuvutiwa na jambo lingine lolote lililokuwa likitokea nje ya wao wawili kukumbatiana ndani ya blanket. Ni wao peke yako waliofahamu kilichokuwa kikiendelea ndani ya vichwa vyao na mimi nilikigundua mara baada ya BiBi kuzima taa za chumbani kwao!
Bila ya kuchelewa kila mmoja akiwa ndani ya blanket alihangaika kuvua ngo za ndani na kujiwe kwenye mkao wa kungonoka…eeeh! Mara ya kwanza sikuamini kama ninachokiona ni cha kweli au nilikuwa naota. Kabla sijamaliza kujiuliza nikaona wakifanya mapenzi huku wakidhani kamera haziwaoni…maweeee!! Kwa yeyote aliyeona atakubaliana na mimi kwamba haikuwa ngono salama na kama hali ikiendelea hivyo ina maana kuna watu watatoka BBA STAR GAME na maambukizi ya magonjwa ya ZINAA!!
 
LUKE WA LIBERIA NA JESSICA WA NAMIBIA WAMEFANYANA!!
View attachment 54203

Kwa wale wanaofuatialia reality show ya Big Brother ambayo kwa mwaka huu imepewa kilemba cha kuitwa Star game wanafahamu kwamba jana ilikuwa ni siku ya 13 tangu show hiyo ianze. Mimi siyo mtaalamu wa saikolojia wala mabadiliko ya kimwili yanayoendana na hisia za-kimapenzi, ila tu sielewe kama kilichotokea jana kinaweza kuwa kimesababishwa na siku 13 za kufungiwa ndani! Baada ya mishughuliko ya kutwa nzima, jana nikiwa nimejipumzisha kwenye kochi nilibonyeza rimoti yangu ya DStv ili kunifungulia channel 198/197. Moja ya sababu ya kuwa na shauku la kuangalia BBA kwa siku ya jana ni ili kufahamu hali ikoje kwenye jumba la Downville hasa baada ya wanaijeria wawili (Chris na Ola) kuamua kujitoa kutokana na sababu za kiafya. Mawazoni mwangu nilifikiri hali itakuwa ni ya kupooza…duuh, kilakitu kilikuwa ni kinyume. Kila mtu alikuwa amechangamka kuliko kawaida. Mpaka kuna wakati nikahisi labda wale jamaa walioondoka walikuwa wakiwanyima pumzi kiana!
Chakushangaza nilichokugundua ni hali ya watoto wakike kuwa horny na kuonyesha hali hiyo waziwazi. Hapo juu nimetaja kwamba jana ilikuwa ni siku ya 13 toka idadi ya watu wasiopungua 28 kufungiwa downville. Sasa sina hakika kama uvumilivu umeisha washinda na sasa kila mtu anataka penzi bila kujali kamera zinazowamulika na kurusha live kila kinachotokea.
Hali ya pilika ilikuwa ikiendele huku wengine wakitaniana, wengine wakipika na kula, wengine wakivuta sigara…kubusu nk. Jessica 21, mwakilishi wa Namibia na Luke 26, mwakilishi wa Liberia, walikuwa wamelala pamoja kwenye kitanda huku wakiwa wamejifunika blanket. Kwa muda wote hawakuonekana kuvutiwa na jambo lingine lolote lililokuwa likitokea nje ya wao wawili kukumbatiana ndani ya blanket. Ni wao peke yako waliofahamu kilichokuwa kikiendelea ndani ya vichwa vyao na mimi nilikigundua mara baada ya BiBi kuzima taa za chumbani kwao!
Bila ya kuchelewa kila mmoja akiwa ndani ya blanket alihangaika kuvua ngo za ndani na kujiwe kwenye mkao wa kungonoka…eeeh! Mara ya kwanza sikuamini kama ninachokiona ni cha kweli au nilikuwa naota. Kabla sijamaliza kujiuliza nikaona wakifanya mapenzi huku wakidhani kamera haziwaoni…maweeee!! Kwa yeyote aliyeona atakubaliana na mimi kwamba haikuwa ngono salama na kama hali ikiendelea hivyo ina maana kuna watu watatoka BBA STAR GAME na maambukizi ya magonjwa ya ZINAA!!
uzinzi wa kutisha !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wana haraka hao... Hivi sex ndio njia pekee ya kukuza jina in the house? This BBA ni nzuri sana ingekua wanao ingia humo sio malimbukeni... Hio inatangazwa dunia nzima. Na waliomo humo wanawakilisha bara la Africa. Kwa kweli ni aibu... Niliwahi sikia kwa baadhi ya kaka wakikiri kabisa akiwakilisha mdada Tz wanampigia kura atoke haraka sana kukwepa aibu za namna hii...
 
Last edited by a moderator:
huko ni full kungonoka tu. bora wawakilishi wetu wameondolewa.

yaani afadhali yule wa kwetuhapa katolewa maana alikuwa na kila dalili ya kupigwa kitu kama cha bhoke kwenye swimming pool ....mweeee
 
hivi unifungie ndani na jinsia tofauti nakula na kunywa bila kazi yeyote unategemea nini?

Kwa raha zao.
 


Thanks for the Clip Superman.... What a waste!!

Mambo ya kuiga haya... They do not look comfortable kabisa, na pleasure siamini kama ilikua two sided hio... Wa chini sioni hata kama kaplay part yoyote ile zaidi ya kusema alishiriki. Sad. If you do something crazy like having sex infront of a million viewers at least basi ingekua something worth watching....
 
Last edited by a moderator:
balaaa .....mauno oyeeee lol,watu wana guts kweli....mazingira tense kama hayo na wanaperform??? lol mie ningekuwa gogo......lol



Jestina yani mmoja wao anaqualify kwa wote? :A S embarassed:
 
balaaa .....mauno oyeeee lol,watu wana guts kweli....mazingira tense kama hayo na wanaperform??? lol mie ningekuwa gogo......lol

Watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

Best vidole vimepona lakini?
 
Loh! Dem anaonekana alikuwa na kiu balaa! Ila jamaa nae kakojoa haraka kama kuku!
 
AshaDii ungekuwa ni wewe ungefanyaje kama maji yamefika shingoni? Chakula kipo, njaa inauma.

inaelekea umezoea mikiki mikiki wewe.....woman on top,mwanaume anakuwa hajishughulishi zaidi ya kusikilizia fleva.....au ulitaka na yeye akate mauno???lol

Superman na Jestina mmenisoma vibaya.... hahaha....

On a serious note: Simlaumu sana Luke... He was just being a man... Sijui labda kidogo nimepitwa, ila sioni msingi wa wao kufanya hilo tendo live... kua walishindwa kuvumilia. The way wamefanya ni kama vile tu a casual couple ambapo wakiwa pamoja hamu inawaingia na wanaamua kufanya tendo. Kama vile ni watu wamezoeana siku nyingi. Jessica kwa upande wangu naona kaniangusha sana kutuwakilisha akina mama wa Kiafriaca. Sie hata kama unataka swagger lazima ziwepo bana. Alafu ukijua utaangaliwa na umati ni excuse tosha, I want to do it ila subiri tutok humu ndani sitaki ndugu zangu wanione...

Tabia za tendo la 6/6 lina vary... the way walengwa wanafanya inatoa picha halisi ya vitu kama hamu waliokua nayo kutaka kufanya hivo (na hio hamu kama ni lust/need ama tu neccessity). Na hio inatoa picha kama wangeweza kusubiri na kuweka hamu zao pembeni ama lah. Jestina umenichekesha... mimi ni mtu mzima saana hilo tendo nilisha acha... naongea tu out of observations na experiences... I was young once you kno...
 
Baada ya Ola na Chris kujitoa, mawazoni kwangu nilifikiri sasa mtu mwenye hekima aliyebakia downville ni Luke. Nasema hivyo kwasababu wengi wa washiriki waliyoko Downville, ni wadogo kiumri na hata wengine ni wadogo kifikra. Ingawa Luke hana umri mkubwa kama Edith, lakini kwenye maongezi na ushiriki wake kwenye tasks mbalimbali, anoanekana kukomaa kimawazo. I'm disappointed for what happened and felling sorry for him...aaakkkhhh
 
Baada ya Ola na Chris kujitoa, mawazoni kwangu nilifikiri sasa mtu mwenye hekima aliyebakia downville ni Luke. Nasema hivyo kwasababu wengi wa washiriki waliyoko Downville, ni wadogo kiumri na hata wengine ni wadogo kifikra. Ingawa Luke hana umri mkubwa kama Edith, lakini kwenye maongezi na ushiriki wake kwenye tasks mbalimbali, anoanekana kukomaa kimawazo. I'm disappointed for what happened and felling sorry for him...aaakkkhhh
 
Back
Top Bottom