Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
uzinzi program/stupid program... huku tunakoenda hawa watoto wetu sijui itakuwaje maana huu ushetani unaoendelea kwenye ma-tv is disgusting kwa kweli.. Mungu atusaidie tu
balaaa .....mauno oyeeee lol,watu wana guts kweli....mazingira tense kama hayo na wanaperform??? lol mie ningekuwa gogo......lol
Halafu kuna wapumbavu utawasikia eti wawakilishi wa Tanzania Big Brother!!....pumbavu kabisa ningekuwa na Authority nchi hii ingepiga marufuku vijana wake kushiriki michezo ya kishetani kama huu upuuzi unaoitwa eti Big Brother!!
Aiseee yaani ni full kukatika hadi u...................
Wana haraka hao... Hivi sex ndio njia pekee ya kukuza jina in the house? This BBA ni nzuri sana ingekua wanao ingia humo sio malimbukeni... Hio inatangazwa dunia nzima. Na waliomo humo wanawakilisha bara la Africa. Kwa kweli ni aibu... Niliwahi sikia kwa baadhi ya kaka wakikiri kabisa akiwakilisha mdada Tz wanampigia kura atoke haraka sana kukwepa aibu za namna hii...
hizi ni mbinu za shetani kuiangamiza dunia kwa kuencourage uzinzi kupitia vyombo vya mawasilianouzinzi program/stupid program... huku tunakoenda hawa watoto wetu sijui itakuwaje maana huu ushetani unaoendelea kwenye ma-tv is disgusting kwa kweli.. Mungu atusaidie tu
Thanks for the Clip
.... What a waste!!
Mambo ya kuiga haya... They do not look comfortable kabisa, na pleasure siamini kama ilikua two sided hio... Wa chini sioni hata kama kaplay part yoyote ile zaidi ya kusema alishiriki. Sad. If you do something crazy like having sex infront of a million viewers at least basi ingekua something worth watching....
AshaDii, you said it good. To me hawa wawil walipaswa sana kutuonyesha jisi ambavyo wanaweza kucontain hisia zao za mapenzi.It sounds akward kama mtu wa kawaida utafanya ngono uangaliwe na watu milion kadhaa dunian. hivi kweli such popularity unategemea ikusaidiae kweli? Unless kama hana ambtion ya kufanya kazi yaani awe mama wa nyumbani, manake nimejaribi ku focus kama ameomba kazi kwenye mashirika halafu watu wakakumbuka hili kama application watu wataigusa sijui. huku ni kujiaribia sana tena for life na walitakiwa wakumbuke kuwa this record can be kept for life na kila mtu anapoitaka akaiona so hata kama atakuja kuwa safi namna gani bado ataambiwa mbona ana picha chafu alizopiga?Superman na Jestina mmenisoma vibaya.... hahaha....
On a serious note: Simlaumu sana Luke... He was just being a man... Sijui labda kidogo nimepitwa, ila sioni msingi wa wao kufanya hilo tendo live... kua walishindwa kuvumilia. The way wamefanya ni kama vile tu a casual couple ambapo wakiwa pamoja hamu inawaingia na wanaamua kufanya tendo. Kama vile ni watu wamezoeana siku nyingi. Jessica kwa upande wangu naona kaniangusha sana kutuwakilisha akina mama wa Kiafriaca. Sie hata kama unataka swagger lazima ziwepo bana. Alafu ukijua utaangaliwa na umati ni excuse tosha, I want to do it ila subiri tutok humu ndani sitaki ndugu zangu wanione...
Tabia za tendo la 6/6 lina vary... the way walengwa wanafanya inatoa picha halisi ya vitu kama hamu waliokua nayo kutaka kufanya hivo (na hio hamu kama ni lust/need ama tu neccessity). Na hio inatoa picha kama wangeweza kusubiri na kuweka hamu zao pembeni ama lah. Jestina umenichekesha... mimi ni mtu mzima saana hilo tendo nilisha acha... naongea tu out of observations na experiences... I was young once you kno...
hawa waanzilishi na waendeshaji wa big brother ni wakoloni na wanyanyasaji. wana vuruga utu wa kijana wa kiafrika kupitia umasikini wa kiafrika. mambo yanayofanywa big brother house yanafurahisha kwa watazamaji finyu lakini ni kwa gharama ya utu wa washiriki. ukiingia big brother na mtandio kama nani hii wanakutoa kesho tu. lakini ingia kwa kufanya sex hadharani , amini utapata kukaa ndani ya nyumba kwa 75% ya muda wa kakuaa humo.
big brother walimvua nguo bhoke, baada ya kumvua wakamwacha na kibarua cha kujisafisha kwa jamii yake, wao wamekaa pembeni malengo yao yakiwa yametimia.na wanaendelea kuwavua wengi.
AshaDii and Others
Hapo katika Bluu. Amini usiamini hawajaiga na hivyo ndivyo waafrika sisi tulivyo. Ndio tabia yetu hiyo na ndio tabia ya waafrika wengi. Wanapenda sana ngono bila kujali wako wapi na nani anawaona. Ndio sababu waafrika wengi sio waaminifu kwa wapenzi wao na hata wenza wao wa ndoa, TRUST ME!
Hivyo ndivyo waafrika walivyo maana hujali yeye kuridhika katika sex na sio kumridhisha kwanza mwenzie ndipo yeye afuate hasa wanaume. Ndivyo wanaume wa kiafrika walivyo wakishamaliza ejaculation hawajali kumfikisha na mwenzake na ndivyo hao walivyofanya pia.
So long as this is reaality TV show, lazima waonyeshe uhalisia wa maisha yao wala sio kuiga, na wlaichokifanya hao wameonyesha uhalisia haswaa wa maisha yao na uafrika wao ulivyo, waafrika wengi sio wavumilivu katika ngono. Acha watuonyeshe tulivyo washenzi wala hawajafanya lolote baya.