Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
All the best bro
said bagaile jimboni kwako kuna miiba? Si uende jimboni kwako utulie na wapigakura wako?
Jamani msichakachuwe hii thread, kwa tunaofuatilia Live naona yuko poa tu anawakilisha vizuri yeye pamoja na Zitto Kabwe na ndio kipindi cha kwanza hiki naona mbunge wa Magamba hajaja kwenye kipindi kwa ajili ya kuwa tarumbeta la kusifu CCM na serikali yake. kwahiyo nashauri tuwe tunapingana kwa hoja.ashukuru mbeleko aliyobebewa chamani
The show was excellent, very vibrant with excellent new ideas sema muda ulikuwa mdogo...simu zilikuwa nyingi sana sikutegemea kwa kweli
The show was excellent, very vibrant with excellent new ideas sema muda ulikuwa mdogo...simu zilikuwa nyingi sana sikutegemea kwa kweli
Inabidi hivi vyombo vya habari kuwekea mkazo zaidi vipindi kama hivi na kutoa nafasi zaidi kwenu kuweza kuzungumza na kukusanya mawazo mbali mbali..The show was excellent, very vibrant with excellent new ideas sema muda ulikuwa mdogo...simu zilikuwa nyingi sana sikutegemea kwa kweli