Hivi wewe umesoma heading ya thread na content ya topic au umekurupuka usingizini usiku huu na kuja kujaza wingi wa comment hapa!!??Mlikuwa mnaongelea nini wakuu?
Vyombo gani unavyovipa wewe ushuri! ni hawa kina TBC? Wenzako la maana ni kupiga Mirindimo ya pwani na Rusha zote kwa masaa 3 mfululizo, lakini mada za maana ni dakika 30 au 45 na ikizidi ni 1 hour.Inabidi hivi vyombo vya habari kuwekea mkazo zaidi vipindi kama hivi na kutoa nafasi zaidi kwenu kuweza kuzungumza na kukusanya mawazo mbali mbali..
naomba tiba kaka, inawezekanaUr sick!
Ukisikia mawazo ushuzi ndio haya, haya ni mawazo kutoka kwa mtu mfu ingali yu hai. yeye kwake hakuna Taifa bali ni Chadema na CCM!! Pumbavu kabisa.Kwa speed hii ya wana ccm humu JF,sijui mwisho wake nini! Idadi ya viongozi wa ccm humu inaelekea kukaribia kuwafunika wa Cdm waliojizolea sifa kibao humu!
Duh kaka najua umefikiria nini! Changamoto tu kiongozi! Najua ujumbe utafika namna gani.dah umepiga viroba vingapi?Ukisikia mawazo ushuzi ndio haya, haya ni mawazo kutoka kwa mtu mfu ingali yu hai. yeye kwake hakuna Taifa bali ni Chadema na CCM!! Pumbavu kabisa.
The show was excellent, very vibrant with excellent new ideas sema muda ulikuwa mdogo...simu zilikuwa nyingi sana sikutegemea kwa kweli
Sio viroba uliza magunia ya Lumbesa mangapi!!Duh kaka najua umefikiria nini! Changamoto tu kiongozi! Najua ujumbe utafika namna gani.dah umepiga viroba vingapi?
Kwa speed hii ya wana ccm humu JF,sijui mwisho wake nini! Idadi ya viongozi wa ccm humu inaelekea kukaribia kuwafunika wa Cdm waliojizolea sifa kibao humu!
naomba tiba kaka, inawezekana
Tiba yako watakupa wapiga kura wao pekee ndio wenye uwezo kutibu maradhi yako; hebu tueleze jimbo lako limejejenga vipi kiuchumi baada ya wewe kuwa mbunge? Ajira kwa vijana imesimama vipi ; walio wengi tunaona Igunga kuna umasikini uliokithiri kwa ujumla Tanzania iandimimia kwenye lindi la umasikini huku tukiwa na rasimali nyingi tu; kwa ujumla Tanzania hatuihitaji hata kuwa na bunge ni ****** mtupu!!!
Chama
Gongo la Mboto DSM
Ur sick!
Nakushauri nenda kwenye jimbo lako ukatekeze Yale uliyo ahidi wewe naona unazunguka hapa dar na hizo hoja ulizo pora CDM kutafuta umaarufu. Ndio maana hubanduki jf ili uteke vijana kwa hoja zako za ajira. Kila mara kwenye tv na radio ambazo hazisikiki jimboni kwako unakera sana bado miaka 2.5 uachie ngazi
Said Bagaile jimboni kwako kuna miiba? Si uende jimboni kwako utulie na wapigakura wako?