Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.

Dah! inasikitisha sana. Ndio maana tunaona kila mikutano na maandamano yao vita haziishi. Huyu Mzee na wafuasi (misukule) wake ni hatari sana kwa amani ya Taifa.
 
dah, ndugu yangu wewe bado mtupu sana!
kila mtu aliyetimamu anajua ITV,midahalo yote,sijui vipima joto waga vinakua na mwelekeo wa kudiscredit chama kilichoko madarakani.
 
maoni yangu huyu jamaa
hafai,na kama anajidanganya atashinda mwaka 2015,mwambie anaota ndoto za
alinacha.

sio wewe unaota ndoto za alinacha! ccm haiuziki tena, hata uipigie debe vipi haiuziki ni kama vile kujaribu kuuza kaniki Zizzou fashion.!
Impossible
 
Kwanini kipindi wasikifanye live?. jamaa inabidi aboreshe sana halafu na hiyo uzalendo sio mpango sababu semonyo ana kipindi kama hiki. Hiki kilibidi kiitwe mwanasiasa wetu ili hata kama mmoja akiogopa kuja mwingine aendeleze kama kawa. Mia

Hapo kwenye red utayapata magamba mengi! Halafu yana visingizio balaa; mara utasikia KM amepatwa na dharura - anashiriki kwenye shughuli ya kuzindua matundu ya vyoo vilivyojengwa kwa msaada wa Japan alimradi full vibweka.
 
Mbona Ddr huwa anatoa midahalo live hapa hapa tu kwa kujibu coments za watu?

Dr ni mwanasiasa mzuri sana tatizo Dj kambadili kabisa, Ddr wa leo sio yule tuliezoea kumuona akiwa kinara bungeni, amekuwa kama Llema tu
 
sio wewe unaota ndoto za alinacha! ccm haiuziki tena, hata uipigie debe vipi haiuziki ni kama vile kujaribu kuuza kaniki Zizzou fashion.!
Impossible
mimi sigombei bana,namzungumzia slaa,hataweza kuwa rais,hizi mbwembwe tulishuhudia hata mwaka 2009 kuelekea 2010,na kilichotokea ndicho kitakachotokea 2015.
 
kila mtu aliyetimamu
anajua ITV,midahalo yote,sijui vipima joto waga vinakua na mwelekeo wa
kudiscredit chama kilichoko madarakani.

hapana mkuu, si kweli!
ITV ni moja kati ya tv chache hapa nchini ambao wanajitahidi kubalance sana mambo yao wasiegamie upande wowote!
Kuna mtu humu ameuliza swali zuri sana, hivi tunafahamu katika kile kipindi cha dakika 45 ni watu wa chama gani hasa huwa wanahojiwa??? Obviously najua unalo jibu!
Je umewahi kuskia chadema wanalalamika kwann hawaalikwi kwenye kipindi cha dkk 45????
 
 

Atakujibu wamevilipia. Kama na wao (Chadema) wanataka wafanye hivyo.
 
mimi sigombei
bana,namzungumzia slaa,hataweza kuwa rais,hizi mbwembwe tulishuhudia
hata mwaka 2009 kuelekea 2010,na kilichotokea ndicho kitakachotokea
2015.

sawa mkuu, nimekuelewa!
cha msingi tujitahidi tuunde tume ambayo ni huru ya uchaguzi (na iwe huru kweli) kisha tuwaache watanzania waamue!
 
Atakujibu wamevilipia. Kama na wao (Chadema) wanataka wafanye hivyo.

hahahaha
tatizo ccm ni chama tawala lakini wanalalamika mno!
yani utadhani wao ndio watawaliwa wakati wao ndio wameshika dola
 
 
Mbona Ddr huwa anatoa
midahalo live hapa hapa tu kwa kujibu coments za watu?

Dr ni mwanasiasa mzuri sana tatizo Dj kambadili kabisa, Ddr wa leo sio
yule tuliezoea kumuona akiwa kinara bungeni, amekuwa kama Llema
tu

if you didnt know.!
LEMA ni moja kati ya majembe wa taifa hili.!
chukua hiyo
 
Mngesoma heading ya hii thread sidhani kama mngetoa maneno yote hayo ya kejeli..... Wabongo!!!!!!!!!!!!...ptuuuu
 
Angalizo zuri mkuu, leo nimejisikia vibaya sana kiasi cha kunifanya niwaze mambo mengi sana juu ya future ya nchi yangu; 1. Hivi ni kweli kuwa hatuna waandishi wa habari wenye uweledi mpana wa kuweza kuuliza maswali ya msingi kwa mustakbali wa nchi yetu?
2. Hivi ni kweli kuwa vilaza ndiyo ambao wanasomea kazi za uandishi?
3. Kwanini akina masako et al hawakupewa jukumu hili zito?
4. hakuna wabunifu wenye kuweza kuiboresha ?
anyway, mwanzo mzuri lakini kazi kubwa sana inahitajika katika tasnia hii ya habari... NILICHOJIFUNZA ni kuwa Chichidodo bado ana mawazo ya mfumo wa chama kimoja cha siasa, yuko outdated ile mbaya!!! sijajua nani mwenye afadhali ndani ya CCM...
kunawatu walikuwa wanashangilia bajeti kushirikisha wabunge badala ya wataalam, kinachotokea sasa ni laana maana wajanja wameweka madeal yao ya kufa mtu! naambiwa hata Rais mwenyewe ameduwaa jinsi ambavyo akina chenge et al walivyojipanga... CCM ni Chama cha Majambazi wenye kutuibia hadi kwenye laini za simu...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…