Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
hii thread imepoteza maana sasa kila mtu kaanzisha uzi wake, mods leteni huku hzo nyuzi!
 
Slaa kawatisha CCM.. Kumbe alikuwa anaishi na usalama wa Taifa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mangula is very smart. Anajibu hoja kwa utulivu na kwa umakini bila papara tofauti na slaa anayeishia kulialia kwa mwandishi
 
hahahah hata mie nimeona kwanza muda alio hojiwa dr slaa ni 3/4 (robo tatu) ya kipindi huyu mwingine kweli mangula hana kitu jamani
 
Hao wengine wameitwa magarasha tu. Nadhani mlengwa au subject hapo ni Dr.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Du! Dr.slaa kajitaidi kujenga hoja sana.. Mangula kalikimbia Bunge kuhusu matenda Mwigulu anasema yabungen anawaachia wa bunguni..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
slaa amebanwa kuhusu kuchanganya siasa na uanaharakati. ameshindwa kujibu kiufasaha

acha uongo.!
amelijibu kwa ufasaha sana na amesema sababu mojawapo ni watu kukosa exposure, hawaoni jinsi mabunge ya vyama vingi yanavyoendeshwa duniani.! ni mapambano ya hoja kutoka pande zote mbili za shilingi
 
Sijui kwa nn wasimpumzishe huyu mzee, siasa za ki digital haziwez kabiiisa..
 
scramble; Mbona kama unakimbizwa Mkuu, ukweli ni kwamba Mangula hana hoja yoyote na hana mvuto ndiyo maana unaacha kumwelezea alichozungumza.
 
Last edited by a moderator:
.Nimekaa na binti yangu mdogo sana tunaangalia kipindi cha uzalendo ambacho wasxhiriki ni Dr. Slaa na mzee Mangula yule wa mkoa mpya wa Njombe lakini katika kipindi hiki amesimama kama makamu mwenyekiti CCM Tanzania Bara.
Binti yangu kaniuliza: Baba, mbona yule baba anayeitwa Mangula akiulizwa maswali majibu yake siyo mazuri kama ya yule baba anayeitwa Dr. Slaa?
Kweli nimeshindwa kumjibu. Naombeni msaada: Nimjibuje jamani?
 
yeye ni padre na kiti chake cha ubunge alimrithisha mchungaji bila kuhofia watu watasema nini
hivi tanzania ubunge unarithiwa siku hizi? Mi nilifikiri anachaguliwa na watanzania wa jimbo husika, labda mi sipo tanzania, kwa hiyo karatu hawakuchagua mbunge! Duh pole kaka.,, mchungaji, padre au sheikh hawastahiki kuwa wabunge?
 
slaa amebanwa kuhusu kutoa
hadharani siri za usalama wa taifa. je huo ni uzalendo? slaa
anajiumauma. mwendesha kipindi anamuuliza sana slaa kuliko mangula. hiki
kipindi kinahitaji mtangazaji mzoefu sana. huyu dogo hakiwezi

hapana mkuu,
nimependa sana jinsi slaa alivyojibu.!
kwanza ameuliza kwann watu wanataka mambo ya usalama wa taifa yawe siri??
akafafanua kuwa kitu pekee kinachotakiwa kuwa siri ni 'namana ya utendaji kazi wao' lakini kwa mambo ambayo wanayafanya kwa kusaliti taifa wanapaswa kurekebishwa
akatoa mfano: kuhusika kwa kea usalama wa taifa kuiba fedha za EPA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom