Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
kwanza mangula hakuja studio bali walimuhoji sijui nyumbani kwake
 
Mangula kigeugeu na aliyeshindwa nguvu na MAFISADI, atapata wapi ubavu wa kujibu hoja nzito live katika Luninga?
 
Mangula yupo concious!, Dr Slaa hata hamu ya kumsikiliza nimekosa.

slaa kasema wabunge wapigane bungeni. mzee huyu hana akili. yeye mbona mkono mmoja ndiyo unafanya kazi. anaweza kupigana kweli! bado nasisitiza kuwa SLAA NI ADUI WA AMANI HAPA NCHINI
 
kwanza mangula hakuja studio bali walimuhoji sijui nyumbani kwake

mwendesha kipindi ameshindwa kukiendesha. hakua na hadidu za rejea. maswali ya mangula na slaa yametofautiana. ndiyo waandishi wetu wa bongo hao
 
Amesema wakenya wanasema bunge letu ni kama la wachungaji,mapadri na mashehe,mpaka zipiginwe ndondi ndio liwe bunge kamili.
Akasema haki inapiganiwa.
Slaa huyo.
 
Kweli that Presenter is too naive on many important National issues,We need a seasoned presenter this one is too boring and uninformed to my liking.

Dr Slaa is boring, the questions are open, but I don't why he's getting them wrong.
 
maswali darasan mwl humuuliza genius na sio vilaza

kama utafuatilia vizuri, slaa alikua studio lkn mangula alifuatwa hotelini baada ya kula chakula. huyu mtangazaji bomu kweli
 
Nchi hii sijui nani kailoga,sasa kuwahoji Mangula na Slaa kutaleta faida gani kwa taifa hili,kwanza nani awasikilize??

Asilimia 75 ya Watz wapo vijijin huko wanasulubika na maisha,et uzalendo..!!

Uzalendo kwenye TV??

Wastage of time resource...

We growing wiser, are we just growing tall?
 
kama utafuatilia vizuri, slaa alikua studio lkn mangula alifuatwa hotelini baada ya kula chakula. huyu mtangazaji bomu kweli
"Don't hate the player, hate the game" Mangula angefuata nyayo za wenzake za kukacha midahalo. JK hawezi teua mtu wenye uwezo wa kujenga hoja zaidi yake. Kumbuka 2010 JK alikacha midahalo
 
alipoamua kugombea urais alipendekeza jina la mchungaji Israel kubeba bendera ya chdm. yeye padre kasha anampendekeza mchungaji. huo siyo udini? nimeona unafiki wa slaa alipokua anaongelea udini
Vijana wa ccm na cuf hoja zao ni dini tu! Af wanalaumu chadema, anzeni kujichunguza mmebuma sana aisee, kichefuchefu!
 
Dr Slaa is boring, the questions are open, but I don't why he's getting them wrong.

I cannot blame you,You are behaving the way you are behavinga because you are a faggot!You are in love with the man who hates homosexuality and you cannot accept that fact that Dr Slaa is an anti-homosexuality.
 
Amesema wakenya wanasema bunge letu ni kama la wachungaji,mapadri na mashehe,mpaka zipiginwe ndondi ndio liwe bunge kamili.
Akasema haki inapiganiwa.
Slaa huyo.


Uwezo wako wa kupambanua umekaa “kibungo-bungoooooo".......hongera lakini!
 
Nimekosa kipindi kizuri sana! Laiti ningetazama, ningeweza ku-comment kipi ni kipi! Si busara kuongea ushabiki! Marudio?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom