Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

Hakuna mtififuano bali ni alternative wanampa werema. Hao jamaa wanajua "its not about your way, either way, but lower the penalty"
 
Inaonesha wazi kabisa kuwa chadema hawana sera wala mawasiliano ya wenyewe kwa wenyewe.

Ni wazi kabisa kuwa ndani ya chadema hakuna demokrasia wala uwazi (transparency).

Kila mmoja anampinga mwenzake, huko kuna mashindano ya punda na farasi, kila mmoja ni punda lakini anataka kujifanya yeye ni farasi na mbora kuliko punda mwenzake.

Jinsi chadema ilivyo kwa sasa inanikumbusha kipande hiki cha beti za Kikulacho kinguoni mwako!:
  1. Kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake
    Kweli akili upele, huja na muwasho wake
    kweli akili kengele, hugonga kwa saa zake
    Si mageni yako tele, hupita kwa njia zake.
John Smith

Source: Kikulacho Kinguoni Mwako!
 
Mimi nimeona kichwa nikajua wametaka peana vitasa kumbe mitazamo.sasa we ulitaka mdee aunge tuu mkono ndiooo kama magamba.?
 
Kuna maneno yanasema .......'Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika.
Viongozi wameshashindwa kulichunga hilo kundi; hata wenyewe kwa wenyewe hawaelewani tena.

Vijana wanatimkia ccm sasa; kwa ushahidi mdogo tu
nenda hapo cbe uongee na vijana kuhusu chadema
ili tukubaliane tuweze kwenda sawa.

Wewe muongo niko cbe mwaka wa pili mambo mswano kwa CDM
 
hawa vijana wa CCM kwenye topic kama hizi utakuta wamejazana tele huku wakiendelea kupigiana simu.. Halloo nimeweka uzi JF hebu ingieni kazini muwachachafye CDM. Lakini ukiwekwa uzi unaohitaji ufafanuzi kwa CCM au unaosema kweli kuhusu CCM utaona kimyaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Msengapavi

Today 12:48
#18 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 23rd October 2008
Posts : 711
Rep Power : 706
Likes Received80
Likes Given12


[h=2]
icon1.png
Re: Lisu atofautiana na Mdee Bingeni[/h]
quote_icon.png
By ZeMarcopolo


Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...






Mitifuano gani ndani ya CDM. hawa wako bungeni ambako kila mtu yuko huru kuchangia anavyotaka.
Mnasema hivyo kwa kuwa kuwa wote cdm ndipo mbunge yuko huru kutoa maoni yake. Angekuwa chama kingine mngemwona hana busara na hana maoni yake . Kweli leo nimekubali cdm hamnazo
 
Wasipokuwa makini kuna siku watakuja kupigana matofali.

Mkuu hizi ndiyo hoja zinazotakiwa, hakuna cha wanaoafiki waseme ndiyooooooooooooooo!!!!!! mpaka hoja zichambuliwe ndiyo wakubaliane
 
huo ndio uhuru na demokrasia ndani ya chadema,hamna tatizo kwani hilo sio jambo la kisera
Magamba msishangae kabisa,hiyo ndo sisi wanachama tunataka na sio unafiki na umimi waàkina mzée wa kufundisha chuo kikùu
 
malagahai ni USALAMA wa taifa wanao hangaika kuhonga vyama vya upinzani ili ma CCM wapite kilahisi
 
Uzuri ni kwamba wote ni wa kuchaguliwa na pale hawakilishi vyema bali watu wao na Taifa .Mtifuano wa mawazo ni wa kawaida sana .Vipi USA majuzi ilikuwaje ? Wajinga pekee ndiyo wanaona ajabu .
 
Yaani Watanzania kila kitu mnakifanya Siasa mpaka mnaboa.
Cha ajabu nini wabunge wawili kutofautiana? Kwani Bunge si ni "debating house"?
 
We jamaa uliangalia pekee yako hizo kauli umepata wapi shame on you kua na logic katika post wewe umbea ndo huo
 
Back
Top Bottom