Sioni tatizo hapo kila mtu na mawazo yake
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
chadema ni malaghai matupu
cc
mods wote wa jukwaa la siasa, kwa hatua zenu
hivi kati ya ccm na chadema, kipi kinaongoza kwa kuchukiwa?
Sasa hapo cha ajabu ni kipi?
Upuuzi gan?? Mdee kutofautiana na Lissu?? Mbona mnapenda kukuza mambo yasiyo na maana..wote ni wabunge hawawezi kuwa na mawazo yanayofanana au wale wa kila kitu NDIYOOO bado wanakukuna.chadema inachukiwa na watanzania kwa sababu ya upuuzi wa viongozi wake
Mkuu hiyo ni parliamentary session, kila moja ana uhuru wa kutoa maoni yake anavyoona yanafaa.
Hakuna mtifuano bali hoja zenye kujenga.
Uimara wa CHADEMA unaifanya bunge lionekane lina sura ya aina yake!
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
Eti Kigwangala anawasilisha msimamo wa chama kuhusu kumng'oa Spika?Wasipokuwa makini kuna siku watakuja kupigana matofali.
Nyani haoni nyuma yake huyo changu mleta mada hapo juu umeona au hujaona?misukule ya LB7 project....cc
mods wote wa jukwaa la siasa, kwa hatua zenu