Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live




Hamna cha ajabu bali ni muono wa kila Mbunge, Na hilo ni pendekezo tu sio sheria.
 
Halima mdee alitaka iwe laki 5 mbunge wa ccm akaja na hoja iwe kama kamati ilivyoamua million 3. Baada ya Halima kuelewa kuwa angalau imepungua kutoka million 5 mpaka 3 na angeendelea kubishana angeshindwa kwa hoja ya wengi wape so ikabidi akubali. Mda mwingine muwe makini ktk kusikiliza zaidi.

Ukiwauliza wana division gan kwa uelewa wao mdogo? Watakwambia mbona tuna division 5? Ni zero tu hiyo na hiyo ndiyo stahiki yao maana km wanaweza kuwa wanangalia bunge na bado wasielewe tutegemee nini?
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live
kweli maCCM akili hayana unasema mukiwa chama kimoja na mawazo yenu yafanane? maana yake sio masilahi ya wananchi tena bali ya chama? duh kweli hili nalo ni aina ya gamba!
 
hata baba na mama hupishana kauli though wanalala kitanda k1 na kushare shuka!hakuna jipya hapo
 
Aliyekwambia CDM inachukiwa ni nani?? Labda wewe na MaCCM, na hamna pa kutokea safari hii byby!!
 
chadema inachukiwa na watanzania kwa sababu ya upuuzi wa viongozi wake

watanzania wepi, maana sisi ndo watanzania wenye uzalendo, na nyinyi ni mitanzania msio kuwa na uzalendo na taifa hili, ama kweli CCM kwisha habari yake kama hoja zenyewe ndo hizo
 
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.

Wanachama wamebaki njia ya panda...

Umeshakuwa msemaji wa wanachama wa Chadema? Kupingana kwenye majadiliano bungeni ni jambo la kawaida sana, hata kwa CCM imetokea.
Kwa mfano mdogo, unajua alichosema Serukamba na Mwigulu bungeni juzi wakijadili manadiliko ya sheria katika kifungu cha adhabu kwa waandishi wa habari?
Au ndo Buku 7?!
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live

Umeambiwa au umesikia?
Acha ushabiki wewe Lisu na Aliina awajatofautian ata kidogo.
Lisu alikuwa anazungumza juu ya umuhimu wa kutoongeza azabu kwenye sheria ambayo aijawahi kufanya kazi, wakati Mdee alikuwa anazungumza juu ya kupunguza azabu ya faini iliyoletwa na Serekali na sio LISU TENA KWA NYAKATI TOFAUTI
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live
Nini cha ajabu hapo we Muuza kande? Umeona na hii nayo ya kuanzishia thread?
 
Umeambiwa au umesikia?
Acha ushabiki wewe Lisu na Amina awajatofautian ata kidogo.
Lisu alikuwa anazungumza juu ya umuhimu wa kutoongeza azabu kwenye sheria ambayo aijawahi kufanya kazi, wakati Mdee alikuwa anazungumza juu ya kupunguza azabu ya faini iliyoletwa na Serekali na sio LISU TENA KWA NYAKATI TOFAUTI
Tafadhwali sheikh! Amina yupi huyo?
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live

Kukurupuka kubaya, yani ata Head Title ya habari umeindika kimagumashimagumashi "lisu-atofautiana-na-mdee-bingeni"
Hapo kwenye red inaonyesha jinsi ulivyokurupuka nma tena tukikukagua vizuri huenda ata chupi hujavaa.
 
Inaelekea huko CCM hakuna UHURU wa kutoa maoni

Falsa ya ndiyo imewalemaza SEMENI NDIYOOOO !
 
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.

Wanachama wamebaki njia ya panda...

Nakuheshimu sana Kiongozi, sana tena.
Lakini naomba utambue uvumilivu wangu kwa watu wanaofanya upotoshaji (hata kama wanajipotosha wenyewe) ni mdogo sana.

Nakuomba uheshimu utu wako, ni post kama hizi ndio zinasababisha watu waanze kuitana buku saba au wanywa viroba, huku ni kujidharirisha kwa wazi kabisa, na inalazimisha kufikiri kweli kuna watu wanalipwa kwa sababu ya kupost vitu vyenye muelekeo fulani wa kisiasa.

Sitaki kujutua kuwa kwenye jukwaa moja na wewe.
 
Back
Top Bottom