Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...
ama mnaweweseka na chadema, mambo yanatokea bungeni unabaki unahangaika na chadema
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...
kwani tatizo hapo ni nini?Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
hivi kati ya ccm na chadema, kipi kinaongoza kwa kuchukiwa?chadema inachukiwa na watanzania kwa sababu ya upuuzi wa viongozi wake
Halima mdee alitaka iwe laki 5 mbunge wa ccm akaja na hoja iwe kama kamati ilivyoamua million 3. Baada ya Halima kuelewa kuwa angalau imepungua kutoka million 5 mpaka 3 na angeendelea kubishana angeshindwa kwa hoja ya wengi wape so ikabidi akubali. Mda mwingine muwe makini ktk kusikiliza zaidi.
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...
kweli maCCM akili hayana unasema mukiwa chama kimoja na mawazo yenu yafanane? maana yake sio masilahi ya wananchi tena bali ya chama? duh kweli hili nalo ni aina ya gamba!Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
chadema inachukiwa na watanzania kwa sababu ya upuuzi wa viongozi wake
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
Nini cha ajabu hapo we Muuza kande? Umeona na hii nayo ya kuanzishia thread?Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
Tafadhwali sheikh! Amina yupi huyo?Umeambiwa au umesikia?
Acha ushabiki wewe Lisu na Amina awajatofautian ata kidogo.
Lisu alikuwa anazungumza juu ya umuhimu wa kutoongeza azabu kwenye sheria ambayo aijawahi kufanya kazi, wakati Mdee alikuwa anazungumza juu ya kupunguza azabu ya faini iliyoletwa na Serekali na sio LISU TENA KWA NYAKATI TOFAUTI
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,
Tbc - live
Tafadhwali sheikh! Amina yupi huyo?
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.
Wanachama wamebaki njia ya panda...