Haipo HalmashauriIdara ya usalama wa taifa bila shaka patakuwa na asali ya kutosha
Fallacy of generalisation, inategemea eneo na eneo usiishi kwa kukariri.1.Idara ya elimu ya msingi
2.Idara ya kilimo
3.Idara ya michezo
4.Idara ya mifugo na uvuvi
5.Idara ya usafi na mazingira
6.Idara ya utawala
7.Idara ya ujenzi
8.Idara ya Elimu secondary
Huko watu wamepauka hadi huruma
Kwahiyo tuhame wote tuende kwenye idara zenye pesa sio?1.Idara ya elimu ya msingi
2.Idara ya kilimo
3.Idara ya michezo
4.Idara ya mifugo na uvuvi
5.Idara ya usafi na mazingira
6.Idara ya utawala
7.Idara ya ujenzi
8.Idara ya Elimu secondary
Huko watu wamepauka hadi huruma