Lissu omba msamaha yaishe!

Lissu omba msamaha yaishe!

Kauli thabiti ya lissu ni anamaliza siasa za kidalali za nyuma ya pazia unapewa blankcheque jukwaani unakausha.

Madalali wote wanaumbuka chadema na lissu watu wanamshukuru sana kwa ku.expose wanasiasa matumbo njaa chadema.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Weka ushahidi vinginevyo ni hekaya za kawaida kutoka Lumumba
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli

Kwani wewe ni yupi hapo pichani ndugu?

1744224725751.png
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Huyo ni jeuri Wacha kiburi kimtese.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Wewe ni chawa mpumbavu
 
Back
Top Bottom