Lissu omba msamaha yaishe!

Lissu omba msamaha yaishe!

Badala ya kumshauri mama yenu ajiangae maana ni karibuni tuu utawala mpya ukiingia ni kubadili sheria na kuondoa kinga za kutokushtakiwa wa zamani na waliopo. Na yeye atakuwa nalo la matumizi mabaya ya madaraka. Sketi ya pinki inamsubiri.
 
Kuwa mstaarabu omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele ni njaa tu
Hivi unamuomba msamaha aliyekukosea ili siku nyingine akosee tena,au awaombe msamaha hata waliompiga risasi
 
Kuwa mstaarabu omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele ni njaa tu
Kama haki ya mtu ipo,basi ipo pale pale na itapatikana kwa njia yoyote ile.Mungu ndiye ajuaye.
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
Sa100 ndiye hasa anayepaswa kuomba msamaha, hapo alipo nafsi inamsuta!
Kweli usimpe mamlaka kiazi ni hatari sana!
 
Kuwa mstaarabu omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu
Mtu mjinga tu na asiyejua haki zake ndio anaweza kufuata huu ushauri wako. Msamaha haombi, na kuachiwa ataachiwa. Kama mlitegemea cdm kitakuwa chama cha kusubiri fadhila za ccm ili wapate ruzuku, basi mmeukalia. Hiki sio kizazi cha kuburuzwa na sheria za kulinda majizi ya ccm. Nyakati zimebadilila, someni alama zake. Ni hivi,NRNE.
 
Back
Top Bottom