Lissu omba msamaha yaishe!

Lissu omba msamaha yaishe!

Kuwa mstaarabu omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu
Ww ndio mwenye njaa maana mara nyingi maskini ndio wanaweza kuishi kwa kulamba wengine matako.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli

unapaswa ulale chini ulambishwe bakora za kutosha! shit
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli

Yaani Lissu ndio aombe msamaha? ana kosa gani seriously?
 
Konyagi siyo uji dogo,

Amka dogo, wa kuomba radhi ni mwenyekiti wako wa chama chako
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
SSH ndiye anatakiwa amuombe msamaha Lissu.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Mchepuko wa mbogamboga fc huko Dodoma
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Hii ndiyo sababu wewe si Lissu na Lissu si wewe.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli


We kweli kichwani kumepwaya.

Lisu angekuwa na njaa, wakati wa Magufuli si angeikubali ofa aliyokuwa amepewa?

Lisu anaweza kuwa maskini wa pesa lakini ni tajiri mkubwa wa nafsi na akili. Ninyi mnaohangaika na huu ushauri wa kijinga, sababu kubwa ni kwamba mmekuwa maskini wa akili, nafsi, na pesa.
 
1. Kuwa mstaarabu, usishupaze shingo, kiri uliteleza, omba msamaha yesheee. Angalau upate wabunge wawili upewe na ruzuku. Upunguze njaa maana hizi kelele sijui reforms ni njaa tu.

2. Wananchi wamegoma kuibiwa kupitia tonetone, wamechagua maendeleo ya kweli
Umeandika ujingaujinga sana.Mmefunga shule?
 
Kama uko miongoni mwa G 55 na unataka ubunge au udiwani,wahi mapema kwenye vyama vingine!
 
Pole sana Lisu
Chutama ufiche aibu yako...mnajiumbua moja baada ya mwingine, kizazi cha mikesha ya mwenge!
1744792219491.png
 
Back
Top Bottom