Lissu ni kiboko kubali au kataa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.

Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.

Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.

Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.

Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?
 
This Man is blessed.
 
Unakumbuka Braza Sabaya alikonda sana pamoja na kwamba alikuwa na uhakika wa Kesi yake kuisha. Kisaikolojia Tundu Lissu bado yuko 100% intact.
 
kiboko korokoroni right? dah

inasiktisha sana na inafedhehesha sana kwakweli 🐒
 
Mti wenye matunda hupigwa mawe
 
So far it is the best.

Anaweka record sawa and i tell you for sure is the Next President.

He is under Testing, he will eventually be Passed
halafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch

hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
 
Unakumbuka Braza Sabaya alikonda sana pamoja na kwamba alikuwa na uhakika wa Kesi yake kuisha. Kisaikolojia Tundu Lissu bado yuko 100% intact.
SABAYA alikua hana back up ya jamii pia hana taaluma ya uwakili na alikua haungwi mkono na mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…