Lissu na Zitto kuipaka matope na kuisaliti Nchi yake hakujafanywa na mpinzani yeyote Duniani

lars

Member
Jan 16, 2015
89
142
Kitendo cha Lissu na ZItto kutembea nchi za Nje na kuipaka matope na kuisaliti nchi yake na wananchi wake ni kitendo cha kinyama na ajabu na hakuna Mwanasiasa wa Upinzani Dunian aliyefanya aibu hiii.

Tumewashuhudia wapinzani wazalendo Dunian kama akina Raila , Joe Biden, Julius Malema etc , huwezi kuona anatoka nje kwenda kuchafua na kunajisi nchi yake, hata kama kuna changamoto ktk inchi yake.
Wanachokifanya akina Lissu na Zitto ni dhambi kubwa ambayo inawachafua wao wenyewe na vyama vyao , na kukosa dhamano kwa wananchi.

Wajitafakari vizuri ni aina gani ya upinzani inahitaji kwa sasa lkn siyo stille hiyo ya usaliti kwa nchi na Kuponda kila kitu na kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi.
 
Themistocles alikuwa ni shujaa mkuu wa Ugiriki kwenye vita dhidi ya Waajemi na alisaidia kuwaongoza kupata ushindi mkubwa ambao utasimuliwa vizazi hadi vizazi.

Alivyorudi na ushindi mkubwa mabwanyenye na watawala wa Ugiriki hawakutaka kijana huyu alete changamoto kwenye utawala wao, wakapanga njama dhidi yake.

Themistocles kuwa mjanja akaikwepa hii njama na kutoroka nchi. Unajua alitorokea wapi ??? : Alitorokea Uajemi kulekule kwa maadui zake wakubwa ambapo alipewa mapokezi makubwa, hifadhi na ardhi.
 
Kitendo cha Lissu na ZItto kutembea nchi za nje na kuipaka matope na kuisaliti nchi yake na wananchi wake ni kitendo cha kinyama na ajabu na hakuna Mwanasiasa wa Upinzani Dunian aliyefanya aibu hiii.

Tumewashuhudia wapinzani wazalendo Dunian kama akina Raila , Joe Biden, Julius Malema etc , huwezi kuona anatoka nje kwenda kuchafua na kunajisi nchi yake, hata kama kuna changamoto ktk inchi yake.
Wanachokifanya akina Lissu na Zitto ni dhambi kubwa ambayo inawachafua wao wenyewe na vyama vyao , na kukosa dhamano kwa wananchi.

Wajitafakari vizuri ni aina gani ya upinzani inahitaji kwa sasa lkn siyo stille hiyo ya usaliti kwa nchi na Kuponda kila kitu na kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi.
Kuna Warundi Znz wanawapiga watu risasi na kuwauwa. so wameenda kuomba msaada wa kuwaondoa askari wa kirundi walioivamia Znz.
 
Tume ya uchaguzi ndio imechafua na kuharibu kila kitu ,yaani kama ni lawama basi hawa watu WaTume wafungwe.

Tume imeshindwa kuhifadhi na kuuficha wizi wamemuharibia na kuwaharibia washindi wote,sasa kila wanapopita wanaonekana ni wezi bado kunadiwa tu.

Mi niliiona il Tume tokea mwanzo na nikajisemea hawa jamaa wataiadhiri CCM,yaani hawakujiandaa kuhifadhi,kuficha na kuulinda wizi usionekane wala kujulikana,lakini kilichotokea ni kuwatia aibu walioshinda tokea Raisi mpaka diwani,Tume imewadhalilisha kupita kiasi,Tume ilishindwa kujisitiri ,inakuwaje kila kitu siku ya uchaguzi wizi wote wanaonekana ,yaani waliandaa wizi mzuri ila walishindwa kujiridhisha na kupanga mikakati ya kuutekeleza bila ya kujulikana wala kugundulika.

kama mi ndio ningekuwa Raisi hawa watu watume wote ningelikwisha waficha ndani ya mashimo ya kuchimbia zahabu.
 
Are you kidding me? Hivi unaijua dunia? Wapigania haki za binaadamu na wanasiasa wa pande za upinzani wanaokwenda nchi za nje kuomba misaada na kutaka nchi zao ziwekewe vikwavyo hadi pale tawala za maguvu zikiondoka mbona wapo tele tu?

Sina haja ya kuweka majina yao lakini tumia mitandao na utaona wapinzani hao kuanzia nchi jirani za uganda na kenya hadi Tamil na Venezuela. Infact kama unafuatilia masuali ya siasa duniani utagundua kuwa wapinzani wa serikali ya venezuela hivi karibuni walifanikiwa kuishawishi UK kutoruhusu uuzwaji wa gold reseve ya venezuela ambayo serikali ya venezuela walisema wanahitaji pesa hizo kupigana na corona.
 
Yani kwa akili hiziii..bado tuna Safari ndefu sana ya kujitoa katika kifungo Cha fikra, mchafuzi namba moja wa hii nchi ni Magufuli akifuatiwa na tume yote ya uchaguzi na bila kuwasahau vyombo vyote vya usalama..huyu zitto na Lissu wanachofanya ni kuieleza dunia upumbavu unaofanywa na watawala na wala sio kwamba wanaisaliti hii nchi.
 
Back
Top Bottom