Uchaguzi 2020 Lissu, kuna kila dalili wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee urais, kama vipi twen'zetu ACT Wazalendo

Mimi natamani aje wakati ameshateuliwa kugombea urais na kampeni zinaanza Kama kesho tuone wa kumkamta?hao CCM sometimes mnawapa sifa wasizostahili na ndo maana wanaharibu nchi yetu

Acha ujinga. Lissu Ana kesi na wala haihusiani na CCM. Then unaonekana ndo Wale Wale Tz hatutaki waongeaji. Nyerere alishanaliza Hotuba Zote. Sasa tunataka kazi.
 
Ndugo MOTN, mengi ulitoyasema yana ukweli , na usiwasikilize wala kuwajibu hao bendera kama akina Salary Slip.

Naomba nikusahihishe au nikuongezee UKWELI mchezo ulivyo mpana kuliko unavyouona.

Lissu alikuwa mmoja wa waliotumia Nguvu zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo zitakazo muangusha naye. Mtego wa Panya....,

Zaidi ya hivyo hata ACT hawantaki, kuna mpango wa pamoja kati ya Mbowe na Zitto kuhakikisha wanamzima Lissu, Zitto anamchukia sana Lissu zaidi ta Mbowe, Mama yake Zitto alipifariki watu waliowashawishi chadema wasihudhurie mazishi ya mama Zitto, ambaye alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chadema, walikuwa Dr Slaa na Lissu ndio waliokuwa wakali sana.

Pia wenye Chadema na hata Zitto wanaogopa Lissu akibahatika akawa raisi , basi atakuwa mkali zaidi ya JPM, na hatawasikiliza wala kupokea ushauri.

LISSU, fursa aliyokuwa nayo ni kujiunga na NCCR au vyama vingenevyo, na nina uhakika kwa nguvu zake pekee atakiunua chama chochote atakachojiunga nacho.

Habari za mitandaoni
 
Vipi na Lowasa mlimpigia hizo kura za NDIYO/HAPANA 2015?

Hakupigiwa. It was a strategic miscalculation iliyokuwa na tatizo kwenye mtazamo wa chama pamoja na kwamba haikuwa na any negative impact kwenye matokeo. Take it that CHADEMA imepata somo; safari hii inatengeneza taswira bora mbele ya umma hata kama nayo haitakuwa na impact yoyote kwenye matokeo.

Don’t forget hadi sasa hii nchi ni totalitarian state inayoongozwa na chama dola kikongwe zaidi barani Afrika.
 
Aje CCM, atapewa uwaziri mkuu, (i'm sorry Majaliwa, 😀)
Karibu Lissu, usilazimishe sehemu kama hupendeki?
 
Huwa sielewi. Wanaweza kumkmata. How. Lissu Ana kesi ya miaka kadhaa. Sasa kwanini unazungumzia issue as if ataonewA.
Hivi tunaweza kusema kwa uhakika kabisa kuwa sasa hivi polisi, dpp, mahakama na vyombo vinginevyo zinafanya kazi zao objectively kabisa.....bila misukumo ya kisiasa?

Naamini mimi na wewe, sote tunaujua ukweli. Hiyo kesi ya Lissu kupigwa lisasi peke yake inonesha vizuri tu namna jeshi letu la polisi linavyofanya kazi zake.
 
Siasa za upinzani zimezidi kuwa ngumu na dhoofu,demokrasia inachechemea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom