unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Mimi natamani aje wakati ameshateuliwa kugombea urais na kampeni zinaanza Kama kesho tuone wa kumkamta?hao CCM sometimes mnawapa sifa wasizostahili na ndo maana wanaharibu nchi yetu
Acha ujinga. Lissu Ana kesi na wala haihusiani na CCM. Then unaonekana ndo Wale Wale Tz hatutaki waongeaji. Nyerere alishanaliza Hotuba Zote. Sasa tunataka kazi.