Tetesi: Lissu kuachiwa kesho

Tetesi: Lissu kuachiwa kesho

Ndivyo ilivyo, na ndivyo itakavyokuwa

Rejeeni tarehe 16/6/2025 jinsi serikali ikiwakilishwa na DPP mahakamani kupitia kwa mawakili walivyokuwa wanababaika kuonesha kuwa hawana lolote kwenye kesi hii, hawaushahidi na kiufupi hakuna uhaini wowote bali ni ujinga na woga wa Samia tu na genge lake

Bahati mbaya ni kuwa, kusheria hii haiwezi kufanyika nje ya utaratibu wa kisheria mahakamani hukohuko. Laiti ingekuwa vipi, ingeshatangazwa mapema kuwa "DPP hana nia ya kuendelea na shauri hili"

Bahati mbaya nyingine ni kuwa, huyu Tundu Lissu hawezi kutokea Ikulu kesho badala ya mahakamani kama ilivyokuwa kwa mjasiriamali wa kisiasa wa kesi ya kubambikiwa ya ugaidi Freeman Mbowe mwaka 2022
Mbowe alituweza sana, ukimcheki anavyojenga hoja utdhani mtu wa maana kumbe yuko kibiashara zaidi.
 
Kama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa.

Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.

Siongezi neno.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Pilato ameona Hana hatia mtu huyu damu yake isijedaiwa juu yetu na watoto wetu mfungulieni aende zake. Dah ila mwamba akija kitaa najua hi vita tunakwenda kutumia B-2 spirit ilikuwamaliza mapema
 
Kama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa.

Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.

Siongezi neno.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Wanatema bungo🔥🔥🔥🔥🔥✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿📌📌📌🔨❗
 
Na kama LISSU ASIPOACHIWA kesho na bado JF moderators wameuacha huu uzi hadi sasa, basi jukwaa la JAMII FORUMS litakuwa ni la WAJINGA NA WAPUMBAVU na mimi NITALAZIMIKA KUJIONDOA ili wabaki WAJINGA NA WAPUMBAVU tu maana mimi sio sehemu yao.
 
Yes na iwe kweli. Baba piga risasi pembe zote kijana wetu aje kitaa. Yale mashetani yafe yote.
 
Back
Top Bottom