Nyie na viherehere vyenu ndio mnamponza mwenzenuKama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa.
Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.
Siongezi neno.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Nyie na viherehere vyenu ndio mnamponza mwenzenuKama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa.
Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.
Siongezi neno.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Nchi ipo mikononi mwa wahafidhina wapumbavu. Unategemea mtu kama wasira atakuja na mawazo gani ya kujenga?Nchi ya ajabu sana hii, unamuweka ndani mtu ili kumukomoa kumbe ndo unajikomoa kukomoa zaidi Taifa, mpaka sasa Taifa limepata nini kama sio kupoteza kabisa
Yaani form ya kugombea ubunge 2030 achukue 2025?
Na bado, vijana wa J4muliro kila siku wanazidi kumchafua hadi raha.Samia amechafuka aswaaa
Wee Jamaa nakufurahia sana sana, umekuwa mtu wa kutoa matumaini Kwa Watz walio wengi. Maana kama Taifa limekata tamaa hivi...mbele ni Giza totoroKama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa. No
Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.
Siongezi neno.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Wee Jamaa nakufurahia sana sana, umekuwa mtu wa kutoa matumaini Kwa Watz walio wengi. Maana kama Taifa limekata tamaa hivi...mbele ni Giza totoroKama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa. No
Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.
Siongezi neno.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Kuingia kwenye uchaguzi bila reforms hapana hawataambulia kituWatu wa amani na wapenda demokrasia na maendeleo tunataka aachiwe ili nchi iwe na amani kuona huyo mwamba yuko huru kushiriki michakato ya siasa za nchi hii. Pengine chama chake kinaweza kuingia kwenye uchaguzi mkuu. Wananchi wengi wanataka CHADEMA iingie kwenye uchaguzi hata kama abrakadabra zitafanyika.
AminaWee Jamaa nakufurahia sana sana, umekuwa mtu wa kutoa matumaini Kwa Watz walio wengi. Maana kama Taifa limekata tamaa hivi...mbele ni Giza totoro
Hawana sababu ya kumshikilia...ni usumbufu tuWamebana wameachia.
Nini kinaendelea hukoWakoloni weusi waache kumpotezea Mjeshimiwa muda wake wa kuwatetea na kuwapigania Watanganyika.
HahahaMtabiri asipoachiwa TAL hio kesho, tunakuweka wewe ndani.
kwa haya mashinikizo toka nje huenda ccm ikaona aibu kufanya abrakadabra kwenye uchaguzi wakaachia kata na majimbo kadhaa yachukuliwe na upinzani angalau kupunguza malalamiko toka jumuiya mbalimbali za kutetea haki za binadamuKuingia kwenye uchaguzi bila reforms hapana hawataambulia kitu
Itapendeza kama kweli !Kama kawaida nazidi kuwaletea habari za ndani kabisa.
Kesho Mweshimiwa Tundu Lissu, ataachiwa huru.
Siongezi neno.
Mto wa Mbu
Illinois -USA