Lissu karibu Dodoma lakini.....

Lissu karibu Dodoma lakini.....

Janjawid

Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
93
Reaction score
185
Mh.Mgombea wa urais Chadema
Karibu Dodoma lkn ukishafika Dodoma Fanya yafuatayo maana ndio mji uliokuletra madhara
1.Ukikanyaga tu ardhi ya Dodoma omba Mungu juu ya ardhi na Anga la Dodoma hata kwa dakika tano ndio uendelee na mambo mengine
2.Usiongeelee chochote juu ya kupigwa kwako risasi hapo Dodoma
3.Usishikane mkono na kila MTU 4.Usilale Dodoma ukishamaliza shughuli yako kaa kidogo kisha ondoka mji huo hadi hapo utakaporudi kwa kwakurejesha fomu au kutafuta wadhamini au wakati wa kampeni

Nini mtanzania mzalendo kwa nchi yangu na watu wake wote
 
So unataka kuhaminisha dodoma ni jehanam.?
 
Mh.Mgombea wa urais Chadema
Karibu Dodoma lkn ukishafika Dodoma Fanya yafuatayo maana ndio mji uliokuletra madhara
1.Ukikanyaga tu ardhi ya Dodoma omba Mungu juu ya ardhi na Anga la Dodoma hata kwa dakika tano ndio uendelee na mambo mengine
2.Usiongeelee chochote juu ya kupigwa kwako risasi hapo Dodoma
3.Usishikane mkono na kila MTU 4.Usilale Dodoma ukishamaliza shughuli yako kaa kidogo kisha ondoka mji huo hadi hapo utakaporudi kwa kwakurejesha fomu au kutafuta wadhamini au wakati wa kampeni

Nini mtanzania mzalendo kwa nchi yangu na watu wake wote
agreed
 
Et usilale dodoma!
Yaani rais wa mitandaoni unampangia kwa kulala? We kama nani?
 
Back
Top Bottom