Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu amechukizwa na serikali kulichukulia poa swala la yeye kushonwa risasi bila hatua zozote za uchunguzi kufanyika na ndiyo maana anaituhumu serikali ambayo ina mamlaka ya kufanya uchunguzi ili kubaini nani alihusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hakika kama kweli amesema hivyo, vinginevyo lete ushahidi
 
Najua mtu anaweza kujitoa ufaham, lakini sikujua anaweza kufikia kiwango cha hali ya juu namna hii.

TL anamaanisha ikija kwenye swala lake, uchunguzi ufanyike kwa yeyote, hata kama itahusisha mke au ndugu take achilia mbali kiongozi wa chama. tatizo ni kwamba hata huo uchunguzi haufanyiki sasa,

Wanaotakiwa kufanya uchunguzi ni dola au CDM? Hauoni kwa kukosekana uchunguzi huru ni doa kwa utawala?
Mkiambiwa hamuwezi kazi mnasema mnautaaam wa kutosha, sasa mbona hiyo kesi ya Chacha na Mawazo hakuna chochote kilichofanyika hata kama mnamtuhumu mwenyekiti wa CDM?

Hoja kama hiyo ya Hauoni kwa kukosekana uchunguzi huru ni doa kwa utawala? ni ya kizushi na inaendelea kutolewa mara kwa mara. Serikali na Jeshi lake la Polisi halijayumbishwa na hoja hiyo kwa kuwa liko imara na makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo wana chadema mnakoma na kupewa vya uso.. huku wa humu..

Nimejua asilimia kubwa nyie sio wanachama hai wa hicho chama, bali ni watu mnaokuja humu kwa ajili vyuma vimekaza kutolea stress zenu za njaa kali.
Tatizo ni kwamba kila anaye tofautiana na serekali mnamwita chadema, kinyume chake ni sahihi pia
 
Mambo gani bavicha mnayaleta TL kamtaja mbowe

Kwanza kabisa kabla hatujafika mbali, acha kuonyesha wendawazimu kwa kuniita bavicha, naomba tuweke kwanza hilo sawa.

Sikiliza vizuri maelezo ya TL urudi hapa, umesikiliza majina yote aliyoyataja kwenye yale mahojiano?

Kama unaweza kuniita bavicha wakati hauna uhakika natilia sana uwezo wako ndio maana umeelewa tu kwamba TL kamtaja mwenyekiti wa chama.
 
Kumuelewa Tundulissu inakutaka usiwe na ajili za kushikiwa!!mtoa mada ana IQ mdogo Sana!
 
Kwa nini asiseme wakati dereva amefichwa na chama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu msameheni bure, matatizo aliyopata utotoni hadi kuwa hivi yanamsumbua sana.
tapatalk_1541832657263.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom