Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

HIvi ukiwa ccm inamaanisha akili zako unaziacha kabisa na kuanza kutumia makamasi? Lissu aliulizwa kuhusu tetesi kuwa mbowe anahusika na kushambuliwa kwake, alichojibu ni kuwa ufanyike uchunguzi kama ni mbowe au magufuli au bashite itajulikana baada ya uchunguzi. sasa wapi mnaposema kuwa kamtuhumu mbowe. Rudieni kuisikiliza hiyo clip vizuri wandugu wa ccm
 
HIvi ukiwa ccm inamaanisha akili zako unaziacha kabisa na kuanza kutumia makamasi? Lissu aliulizwa kuhusu tetesi kuwa mbowe anahusika na kushambuliwa kwake, alichojibu ni kuwa ufanyike uchunguzi kama ni mbowe au magufuli au bashite itajulikana baada ya uchunguzi. sasa wapi mnaposema kuwa kamtuhumu mbowe. Rudieni kuisikiliza hiyo clip vizuri wandugu wa ccm
Halafu wapuuzi wa lumumba nao wanashabikia upotoshaji!
 
watu wanajua sana kutwist mambo, sasa hapo amemtuhumu kivipi!?
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
JF sio facebook,humu kuna watu makini!Tuliosikiliza hotuba ya Lissu tumemwelewa,sio upotoshaji huu!
 
Back
Top Bottom