SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,974
- 75,056
Wameshaanza kutajana kimtindo.TUACHE MUDA UTAZUNGUMZA. WALIOMSHAMBULIWA WATAJULIKANA TU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshaanza kutajana kimtindo.TUACHE MUDA UTAZUNGUMZA. WALIOMSHAMBULIWA WATAJULIKANA TU
Mkuu unahangaika kudhihirisha ujinga wako!
Tatizo ni kwamba kila anaye tofautiana na serekali mnamwita chadema, kinyume chake ni sahihi pia
Kamanda hata ukirudia mara elfu moja, ukweli unabakiaga palepale..nao ni kwamba jambo usilolijua ni kama usiku wa giza..wait and see..nyie endeleeni kuficha madereva tuNarudia tena Mbowe yuko tayari hata sasa hivi. Mziki ni hapo kwa jiwe na Bashite.
Rudi shuleTundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliohusika ni hao wanaozunguka nyumba za ibada na kuomba waombewe!Bila shaka kila jambo lina wakati wake. Sasa ni wakati wa Mbowe kuchunguzwa ili kubaini yaliyojificha. Lissu unaujua ukweli kuhusu Kiongozi wako Mbowe
Tulia dawa ikuingieRudi shule
Statement ndogo kama Hii ya Mbowe achunguzwe ndio umekamilisha uchambuzi wako wa habari???
Punguzeni mahaba ya kipumbavu
Lissu anawapa Uhuru wa kuchunguzwa kila mtajwa shida iko wapi hapa kuelewa?
Tuanze na bashite dammit wengine watafuata ndeze kabisa
Unamfundisha nani haya maelezo yako?Alichomaanisha ni kwamba unapodai uchunguzi wa suala lolote lile huwezi kuchagua upande gani uchunguzi uelekee zaidi ya ushahidi unapokupeleka.
And there is no such thing as “fulani” achunguzwe bali ni tukio lichunguzwe na yeyote atakaekuwa implicated uchunguzi ujikite huko.
Japo kwa Afrika na dunia za tatu hizi, hakuna uchunguzi wa tukio unaoelekea kwa Rais. Rais kwa hili alitakiwa awe implicated kwa sababu alitamka anaekosoa maamuzi ya masuala ya madini ni adui, msaliti, na adui msaliti wanajeshi wanajua wamfanye nini. Kwa Amiri Jeshi, hasa wa vitaifa vidogo, vichafu hivi vikandamizaji, hili ni agizo la kijeshi.
Kweli Lumumba viwete, context ya kauli ya Lisu wala hukuipata!Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe kiwete wa ufipa tuambieKweli Lumumba viwete, context ya kauli ya Lisu wala hukuipata!