luciferoriginal
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 495
- 461
Another dog!Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza kamanda..we tulia kama unanyolewa..hapo ndio utajua kama Mbowe yupo tayari ama laHuo ni bonge la mtego. Mbowe nina hakika yuko tayari hata leo. Hao wengine wawili sasa ndio raha ilipo.
Ni kweli hata aliyemwambia Mke wake ahamishe kokoto tani saba usiku Wa manane naye yatamfichuka Mengi.Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndibyo alivyoelewa lile ni swali kila mtu atajibu anvyoelewa.....ila nahakika kwa kulinda watuhumiwa mbowe hatachunguzwa wala dreva wala lisuHili jamaa jinga kweli! Ulimsikiliza ukamuelewa lengo lake?
Muulize Lisu anayetaka Mbowe achunguzweLumumba mnachekesha kweli kwa hiyo ,mbowe ndio akatoa ulinzi ,akatoa CCTV kamera, akakataa Lissu asipatiwe haki yake ya matibabu ,ndio akamwagiza Ndugai azuie mshahara .Ndio akasitisha uchunguzi ,kwa kweli mnajua kujitoa ufahamu .
HahaAchana na Bavicha. Hawa ni vigeugeu mzee. Ukiwambia ukweli ni mabingwa kugeuza maneno. Walisema lowassa fisadi baadae wahasema msafi. Wakasema tunatafa raisi mkali alipokuja JPM wakasema dictator. Yako mengi. Hawa wanatabia ya mashetani
Achana na Bavicha. Hawa ni vigeugeu mzee. Ukiwambia ukweli ni mabingwa kugeuza maneno. Walisema lowassa fisadi baadae wahasema msafi. Wakasema tunatafa raisi mkali alipokuja JPM wakasema dictator. Yako mengi. Hawa wanatabia ya mashetani
Nimeamini pasi na shaka kuwa wewe ni proffesional kilaza! Lisu ana akili kubwa na alijibu kiprffessional.Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye hoja ,mbowe achunguzwe au asichunguzwe?Nimeamini pasi na shaka kuwa wewe ni proffesional kilaza! Lisu ana akili kubwa na alijibu kiprffessional.
Mbowe hawezi kuwa tiyari kuchunguzwa haki ya Mungu
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza kamanda..we tulia kama unanyolewa..hapo ndio utajua kama Mbowe yupo tayari ama la
hapa wanaowategwa ni hao wakolomije 2.Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.
Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.
My take:
Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.
Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app