Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Another dog!
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa kuna tatizo siyo kwamba ameshajua ni nani wanahusika na majina anayo? uchunguzi wa nini sasa? mwelekeo wa hili unasikitisha... ama anataka uchunguzi wa kujua nani anahusika au anataka uchunguzi utakaoonesha anaowashuku ndio wamehusika...
 
Huo ni bonge la mtego. Mbowe nina hakika yuko tayari hata leo. Hao wengine wawili sasa ndio raha ilipo.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza kamanda..we tulia kama unanyolewa..hapo ndio utajua kama Mbowe yupo tayari ama la
 
Achana na Bavicha. Hawa ni vigeugeu mzee. Ukiwambia ukweli ni mabingwa kugeuza maneno. Walisema lowassa fisadi baadae wahasema msafi. Wakasema tunatafa raisi mkali alipokuja JPM wakasema dictator. Yako mengi. Hawa wanatabia ya mashetani
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hata aliyemwambia Mke wake ahamishe kokoto tani saba usiku Wa manane naye yatamfichuka Mengi.
Pia hata aliyeiba jina la mtu ataumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jamaa jinga kweli! Ulimsikiliza ukamuelewa lengo lake?
Ndibyo alivyoelewa lile ni swali kila mtu atajibu anvyoelewa.....ila nahakika kwa kulinda watuhumiwa mbowe hatachunguzwa wala dreva wala lisu
 
Achana na Bavicha. Hawa ni vigeugeu mzee. Ukiwambia ukweli ni mabingwa kugeuza maneno. Walisema lowassa fisadi baadae wahasema msafi. Wakasema tunatafa raisi mkali alipokuja JPM wakasema dictator. Yako mengi. Hawa wanatabia ya mashetani
Haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na Bavicha. Hawa ni vigeugeu mzee. Ukiwambia ukweli ni mabingwa kugeuza maneno. Walisema lowassa fisadi baadae wahasema msafi. Wakasema tunatafa raisi mkali alipokuja JPM wakasema dictator. Yako mengi. Hawa wanatabia ya mashetani

Hahahaha
Niko nao huku usiku nacheza nao bongo flavor
BAVICHA oyeeee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamini pasi na shaka kuwa wewe ni proffesional kilaza! Lisu ana akili kubwa na alijibu kiprffessional.
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza kamanda..we tulia kama unanyolewa..hapo ndio utajua kama Mbowe yupo tayari ama la

Narudia tena Mbowe yuko tayari hata sasa hivi. Mziki ni hapo kwa jiwe na Bashite.
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hapa wanaowategwa ni hao wakolomije 2.
ngoja waingie kichwa kichwa...
 
Lissu yuko very smart
Aliulizwa swali.la mtego kama aliloulizwa Yesu kuwa Yafaa Kumpa Kaizari Kodi au tusimpe?. yote ikiwa ni kujaribu kumuingiza mtegoni!

Lissu naye alipoulizwa kuwa hata Mwenyekiti wako inasemekana kuwa huenda alihusika je unasema naye achunguzwe?

Kama Lissu angesema asichunguzwe, jibu lingekuwa kuwa kumbe hauko serious wewe, bali unataka wachunguzwe unaowataka wewe!

Na kwa kuwa Lissu yuko smart akajibu, eeeh naye kama mnamdhania basi achunguzwe tu hiyo si ndo kazi ya polisi kuchunguza kila anayetuhimiwa?

Kakwepa huo mtego
 
Back
Top Bottom