Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Haishangazi .
Huo ndio ukweli wenyewe.. anaujua hataki kuusema ili achafue tu serikali.
Kama hiyo ni kweli basi wamefika pabaya.

Yetu macho
Maprofesa wawili wa ccm wanashea wasichokielewa

Lissu anasema uchunguzi ufanywe kama ni mbowe itajulikana kama ni jiwe itajulikana kama na mahips itajulikana

Nahisi Nazi zenu ni koroma ndio maana zinakosa ushirikiano


Zero professor

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watetezi wa chama tawala na serikali iliyopo madarakani ebu kuweni angalau na uwezo kidogo tu wa kuchakata mambo

Msiwe watumwa/wadumisha fikra za mwenyekiti kwa kila jambo

Mbowe ndio aliwaondoa walinzi wote wa serikali ili ashambulie?

Mbowe aling'oa zile kamera kwa Waziri wa nishati Kalemani?

Mbowe ndio alizuia matibabu ya Lissu?

Mbowe ndio alipiga marufuku kupitia jeshi la polisi kumuombea Lissu kwenye viwanja vya wazi?

Mbowe ndio alimwagiza spika awaondoe wabunge wa upinzani ndani ya bunge ili watoke huko nje wasiko na immunity ya kibunge ili awashughulikie?

Mbowe ndio anataka kuzuia mshahara wa Lissu na stahiki zake zingine kama mbunge?

Nyie ccm na watetezi wake muwajinga mno hamna akili za kuchambua mambo katika uhalisia wake

Mmebaki kuwa watumwa wa wanasiasa uchwara jamii ya jiwe ili kukidhi matarajio yao ya kisiasa huku wajinga mkitumika kama ngazi ya kupandia

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maswali unamuuliza Lisu anayetaka mbowe achunguzwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watetezi wa chama tawala na serikali iliyopo madarakani ebu kuweni angalau na uwezo kidogo tu wa kuchakata mambo

Msiwe watumwa/wadumisha fikra za mwenyekiti kwa kila jambo

Mbowe ndio aliwaondoa walinzi wote wa serikali ili ashambulie?

Mbowe aling'oa zile kamera kwa Waziri wa nishati Kalemani?

Mbowe ndio alizuia matibabu ya Lissu?

Mbowe ndio alipiga marufuku kupitia jeshi la polisi kumuombea Lissu kwenye viwanja vya wazi?

Mbowe ndio alimwagiza spika awaondoe wabunge wa upinzani ndani ya bunge ili watoke huko nje wasiko na immunity ya kibunge ili awashughulikie?

Mbowe ndio anataka kuzuia mshahara wa Lissu na stahiki zake zingine kama mbunge?

Nyie ccm na watetezi wake muwajinga mno hamna akili za kuchambua mambo katika uhalisia wake

Mmebaki kuwa watumwa wa wanasiasa uchwara jamii ya jiwe ili kukidhi matarajio yao ya kisiasa huku wajinga mkitumika kama ngazi ya kupandia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa si uwaandikie wahusika maofisi mwao au umeninukuu ili wakusome humu?
💀💀💀
 
Maprofesa wawili wa ccm wanashea wasichokielewa

Lissu anasema uchunguzi ufanywe kama ni mbowe itajulikana kama ni jiwe itajulikana kama na mahips itajulikana

Nahisi Nazi zenu ni koroma ndio maana zinakosa ushirikiano


Zero professor

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh
Leo umepata nafasi tena.. umepora wapi cha kuingilia humu JF... eeeeeeh umekuja kuandika porojo zako kama kawa.
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE HUNA HATA UNALOJUA.
KWA MAELEZO HAYO YA KUSEMA MBOWE ACHUNGUZWE WE UMEONA UJINGA KAMA HUO ULIOWAHI KUJA KUANDIKA HAPA???
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwehu. Unadhani ul8sikia pekee yako? Au hata akili ya kukumbuka kilichosemwa, huna?

Mh. TL aliulizwa kuwa huenda ameshambuliwa na watu wa ndani ya chama chake, naye akajibu kuwa ndiyo maana anataka kuwe na uchunguzi. Na akafafanua kuwa uchunguzi ufanyike. Kama anatuhumiwa Mbowe, Magufuli, Makonda au mwingine yeyote, uchunguzwe huru ufanyike. Hivi kwa maelezo hayo, kwa hoja za kijinga unaona kuwa majibu hayo yanashabihiana na hicho kichwa chako cha habari?
 
Wewe mwehu. Unadhani ul8sikia pekee yako? Au hata akili ya kukumbuka kilichosemwa, huna?

Mh. TL aliulizwa kuwa huenda ameshambuliwa na watu wa ndani ya chama chake, naye akajibu kuwa ndiyo maana anataka kuwe na uchunguzi. Na akafafanua kuwa uchunguzi ufanyike. Kama anatuhumiwa Mbowe, Magufuli, Makonda au mwingine yeyote, uchunguzwe huru ufanyike. Hivi kwa maelezo hayo, kwa hoja za kijinga unaona kuwa majibu hayo yanashabihiana na hicho kichwa chako cha habari?
Unajibaraguza tu, tulia dawa iingie vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua mtu anaweza kujitoa ufaham, lakini sikujua anaweza kufikia kiwango cha hali ya juu namna hii.

TL anamaanisha ikija kwenye swala lake, uchunguzi ufanyike kwa yeyote, hata kama itahusisha mke au ndugu take achilia mbali kiongozi wa chama. tatizo ni kwamba hata huo uchunguzi haufanyiki sasa,

Wanaotakiwa kufanya uchunguzi ni dola au CDM? Hauoni kwa kukosekana uchunguzi huru ni doa kwa utawala?
Mkiambiwa hamuwezi kazi mnasema mnautaaam wa kutosha, sasa mbona hiyo kesi ya Chacha na Mawazo hakuna chochote kilichofanyika hata kama mnamtuhumu mwenyekiti wa CDM?
Mambo gani bavicha mnayaleta TL kamtaja mbowe
 
Najua mtu anaweza kujitoa ufaham, lakini sikujua anaweza kufikia kiwango cha hali ya juu namna hii.

TL anamaanisha ikija kwenye swala lake, uchunguzi ufanyike kwa yeyote, hata kama itahusisha mke au ndugu take achilia mbali kiongozi wa chama. tatizo ni kwamba hata huo uchunguzi haufanyiki sasa,

Wanaotakiwa kufanya uchunguzi ni dola au CDM? Hauoni kwa kukosekana uchunguzi huru ni doa kwa utawala?
Mkiambiwa hamuwezi kazi mnasema mnautaaam wa kutosha, sasa mbona hiyo kesi ya Chacha na Mawazo hakuna chochote kilichofanyika hata kama mnamtuhumu mwenyekiti wa CDM?
Mambo gani bavicha mnayaleta TL kamtaja mbowe
 
Kwa hili Makengeza hawezi kuwa salama alianza mambo haya toka Enzi za chacha wangwe
 
Binadamu anayemmiminia binadamu mwenzake risasi 38 hakika si mzima na ukweli ni kwamba aliyemimina risasi kwa sasa anateseka kuliko aliyemiminiwa risasi...kweli Mungu Mkubwa.
Binadamu aliyepiga risasi 38 ni muhuni hawezi kuwa Mwanausalama aliyefunzika
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeandika uongo.Hizi ndio nyuzi za kufuta kwasababu umeuadanganya uma.

Hoja ya Tundu Lissu ni kwamba, kwa wale wote wanaosema Chadema(au Mbowe) ndio aliyemshambulia kwanini jeshi la polisi lisiwachunguze?

Akahoji kuwa kwani sheria zetu zinaipendelea Chadema/Mbowe kwa kama wao wanahusika wasichunguzwe?
 
Mkuu umeandika uongo.Hizi ndio nyuzi za kufuta kwasababu umeuadanganya uma.

Hoja ya Tundu Lissu ni kwamba, kwa wale wote wanaosema Chadema(au Mbowe) ndio aliyemshambulia kwanini jeshi la polisi lisiwachunguze?

Akahoji kuwa kwani sheria zetu zinaipendelea Chadema/Mbowe kwa kama wao wanahusika wasichunguzwe?
Kwa maelezo yako haya unatofauti gani na mleta nyuzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom