Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Sisi wengine ni wapanga njaa tu akija rais yoyote anatufaa, hata LISSU mwenyewe. Sasa akitoa kauli za kujichanganya anaharibu sana. Swali langu, atarudi??? naumia sana kama hatagombea 2020
 
Zamani nilikuwa nashangaa sana Kwa nini ndani ya uvccm na ccm wenyewe wanaoshikishwa ukuta ni wengi?
Sasa ndio naanza kupata majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bwana mahips ana mwisho mbaya sana siku zaja

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa na utani na hii chakula ya boss!
Screenshot_2019-02-14-09-02-14.png
 
Ni kosa kisheria kumhoji mtu mwenye mawenge ya nusu kaputi, waandishi mtakujashitakiwa sikumoja na kulipa fidia kubwa.
 
Mtego huu na mbowe yuko tayari hata sasa

Kazi ni kwa magufuli,makonda,mkuu wa kitengo cha usalama wa taifa, mkuu wa jeshi la police,mkuu wa majeshi

Hawa hawatakubali uchunguzi huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi naomba kuhoji kidogo labda mi uelewa wangu mdogo sana HIVI UYU FREEMAN MBOWE ANA NGUVU GANI KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA MPAKA HAWEZE KUZIIA UCHUNGUZI USIFANYIKE WA CHACHA WANGWE PAMOJA NA TUNDU LISSU??mkuu naomba msaada please maana kama nimeanza kutaka kumfahamu vizuri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
"Nani aliefanya hichi kitendo,ni Mbowe,ni Magufuli.ni Zitto au Lowasa ......
ichunguzwe?..

"Is only the foolish dog can buck on the flying bird"...


Mkuu unabweka sana kwa kitu kilichokuwa wazi....

Watanzania tunataka kujua ukweli nani alietaka kumuua Lissu na kwasababu.gani? hatuhitaji video za kipuuzi katika wakati mgumu kama huu
 
HIvi ukiwa ccm inamaanisha akili zako unaziacha kabisa na kuanza kutumia makamasi? Lissu aliulizwa kuhusu tetesi kuwa mbowe anahusika na kushambuliwa kwake, alichojibu ni kuwa ufanyike uchunguzi kama ni mbowe au magufuli au bashite itajulikana baada ya uchunguzi. sasa wapi mnaposema kuwa kamtuhumu mbowe. Rudieni kuisikiliza hiyo clip vizuri wandugu wa ccm
kumbe mleta Mada ni kiazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haishangazi .
Huo ndio ukweli wenyewe.. anaujua hataki kuusema ili achafue tu serikali.
Watetezi wa chama tawala na serikali iliyopo madarakani ebu kuweni angalau na uwezo kidogo tu wa kuchakata mambo

Msiwe watumwa/wadumisha fikra za mwenyekiti kwa kila jambo

Mbowe ndio aliwaondoa walinzi wote wa serikali ili ashambulie?

Mbowe aling'oa zile kamera kwa Waziri wa nishati Kalemani?

Mbowe ndio alizuia matibabu ya Lissu?

Mbowe ndio alipiga marufuku kupitia jeshi la polisi kumuombea Lissu kwenye viwanja vya wazi?

Mbowe ndio alimwagiza spika awaondoe wabunge wa upinzani ndani ya bunge ili watoke huko nje wasiko na immunity ya kibunge ili awashughulikie?

Mbowe ndio anataka kuzuia mshahara wa Lissu na stahiki zake zingine kama mbunge?

Nyie ccm na watetezi wake muwajinga mno hamna akili za kuchambua mambo katika uhalisia wake

Mmebaki kuwa watumwa wa wanasiasa uchwara jamii ya jiwe ili kukidhi matarajio yao ya kisiasa huku wajinga mkitumika kama ngazi ya kupandia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom