jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,731
- 2,801
Mkuu Missile ushauri mzuri, ila sina hakika kama Lissu/Wanaomzunguka huwa wanatembelea JF na kuona maoni/Ushauri. Kwa kuongezea watu walikata tamaa ya kupiga kura kwasababu ya mizengwe ya kwenye chaguzi S/mitaa na hasa ule wa 2015.
Hapa T. A. Lissu anapaswa kuwajaza morari wa kupiga kura na namna zitaonesha umuhimu wa wao kupiga kura tofauti na chaguzi nyingine. Hamasa ya kuwafanya watu wakapige kura ni muhimu sana kwa sasa. Mimi na uhakika kwa DSM watu wengi watampigia kura hata wale wa chama cha mapinduzi.
Tushamsukumia ushauri huu..
@CHADEMA