Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Ila hao jamaa wanaoenda chadema wakitokea ccm mimi nasema aibu yao woteeee.Mwenyekiti angepewa Nyalandu sasa hivi ingekuwa ni mtafutano, ndio maana Mbowe alishasema sumu haijaribiwi kwa kuilambaπ€£
Saccos ya mwendazake imebakia mikoni mwa Kibajaj na MsukumaSi ni SACCOS yake lazima ajitoe kwa moyo.
Leo hii dr Slaa anaitwa dr Mihogo na misukule yako huku wengine wakiambatanisha na matusi, ww kama mwenyekiti umeshindwa kutoka hadharan kuwakemea hao mbwe.ha koko waliokuwa wanamchafua yule mzee alietumia nguvu zake na mali zake kupigania chama. Ilifikia kipindi dr Slaa alionekana hana thaman hata mbele ya "mr zero" kisa tu mshiko wake aliotumia kuhonga chama. Ki ukweli na bado dhambi ya kumtukana na kumdhalilisha dr Slaa itaendelea kukitafuna chama na wanachama kwa ujumla. Hongera pesa kwa kutuonesha ni nani mwenye roho ya utu na nani mwenye roho ya kutu.mwaka 2000, nikiwa na "Dk. Wilbrod Slaa" na wengine watatu, tulitoa magari yetu tukatembea nchi nzima kufanya mikutano.
Ccm hawatakiChama ni chako mkuu wewe endelea tu.
Hata Museven na Kagame wanachaguliwa na wananchi, sasa kama wananchi wenyewe wanawapenda wao ni nani wawakatalie?
Mwendazake hakuwa na SACCOS.Saccos ya mwendazake imebakia mikoni mwa Kibajaj na Msukuma
Kama alivyo timuliwa Membe kutoka ccm baada ya kutangaza nia ya kuwania urais dhidi ya jiwe.je kwanini kila aonyeshaye nia ya kuuhitaji uenyekiti hutimuliwa?
Hao akili zao zimegandaMwamba anaunguruma .
Mwenyekiti wangu mie huyo.
Yaani utabaki kuwa Mwenyekiti ili MaCCM yaendelee kuzima mmoja bada ya mwingine .. DADEKI..
leo lumumba na Chamwino washapata kazi yakuwaingizia hela. Ni kumtukana Mzee Mbowe, mpaka vijasho vya kwapani viwatie fangasi.
MaCCM yanamuogopa sana Mbowe.
Alafu kuna mtu atakuja ataanza kuimba mfumo mfumoNingependa niweke wazi na Watanzania wakielewe, sijawahi kuomba kuwa mwenyekiti kwa mtu yeyote, mwaka 2004 nilikuwa Mwenyekiti baada ya wajumbe wa kamati kuu na wazee wa Chadema kunipendekeza kutokana na historia na commitment yangu ya chama.
Nilianza harakati za kuijenga Chadema baada ya kuona kinasinzia mwaka 2000, nikiwa na Dk. Wilbrod Slaa na wengine watatu, tulitoa magari yetu tukatembea nchi nzima kufanya mikutano. Nikaenda vyuo vikuu kutafuta wanafunzi walioonesha mwelekeo wa kuwa viongozi.
Credit: Mwanahalisi
Kama vile hifadhi ya burigiMbowe ni CHADEMA na CHADEMA ni Mbowe.
Bila Mbowe hakuna CHADEMA.
Ila BAVICHA wakisha kula mirungi, wanasema CHADEMA ni Taasisi.
Labda taasisi ndio Mbowe.
Myalandu alitumwa kutafuta upenyo wa kuimaliza cdm kama walivyofanya kwa ACTMwenyekiti angepewa Nyalandu sasa hivi ingekuwa ni mtafutano, ndio maana Mbowe alishasema sumu haijaribiwi kwa kuilamba
Mbona kama umeitoa hewani tu hii?Ningependa niweke wazi na Watanzania wakielewe, sijawahi kuomba kuwa mwenyekiti kwa mtu yeyote, mwaka 2004 nilikuwa Mwenyekiti baada ya wajumbe wa kamati kuu na wazee wa Chadema kunipendekeza kutokana na historia na commitment yangu ya chama.
Nilianza harakati za kuijenga Chadema baada ya kuona kinasinzia mwaka 2000, nikiwa na Dk. Wilbrod Slaa na wengine watatu, tulitoa magari yetu tukatembea nchi nzima kufanya mikutano. Nikaenda vyuo vikuu kutafuta wanafunzi walioonesha mwelekeo wa kuwa viongozi
Hao si ni sukuma gang? Au Samia kanyanganywa tena?Saccos ya mwendazake imebakia mikoni mwa Kibajaj na Msukuma
Sasa mtu kama mmawia unategemea akili atoe wapi mkuuLeo hii dr Slaa anaitwa dr Mihogo na misukule yako huku wengine wakiambatanisha na matusi, ww kama mwenyekiti umeshindwa kutoka hadharan kuwakemea hao mbwe.ha koko waliokuwa wanamchafua yule mzee alietumia nguvu zake na mali zake kupigania chama. Ilifikia kipindi dr Slaa alionekana hana thaman hata mbele ya "mr zero" kisa tu mshiko wake aliotumia kuhonga chama. Ki ukweli na bado dhambi ya kumtukana na kumdhalilisha dr Slaa itaendelea kukitafuna chama na wanachama kwa ujumla.
yaani ungejuwa tuko busy na mambo yetu wala usingehangaika kumtetea huyo mwenyekiti wa maisha wa cdm ukitaka uenyekiti tu lazima upotee kama wangwe na saa ngapi sijuiMwamba anaunguruma .
Mwenyekiti wangu mie huyo.βπ½
Yaani utabaki kuwa Mwenyekiti ili MaCCM yaendelee kuzima mmoja bada ya mwingine .. DADEKI..ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½ππΎ
leo lumumba na Chamwino washapata kazi yakuwaingizia hela. Ni kumtukana Mzee Mbowe, mpaka vijasho vya kwapani viwatie fangasi. ππππππ
MaCCM yanamuogopa sana Mbowe.
βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½
CCM ndiyo hawataki Mbowe awe Mwenyekiti
Tatizo unawaza kwa kinyumenyumeHao si ni sukuma gang? Au Samia kanyanganywa tena?
Upo sahihi na ndiyo maombi ya CCM hayoKatika vetting bora Kuwai kufanyika Tanzania ni hii ya mbowe kuwa mwenyekiti
Other wise chadema ingekuwa tayari ni historia.
Kama ilivyo kwa CUF, NCCR, TADEA, UDP na ACT
Acha Nyalandu kuna yule Mwambe aligombea uenyekiti huku akiunga juhudi. Sishangai alipojiuzulu ubunge Ndugai akamfuata nyumbani kurudi bungeni. Bora ya Mbowe mara elfu kuliko vichomi toka CcmMwenyekiti angepewa Nyalandu sasa hivi ingekuwa ni mtafutano, ndio maana Mbowe alishasema sumu haijaribiwi kwa kuilamba