Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 855
Ila hao jamaa wanaoenda chadema wakitokea ccm mimi nasema aibu yao woteeee.Mwenyekiti angepewa Nyalandu sasa hivi ingekuwa ni mtafutano, ndio maana Mbowe alishasema sumu haijaribiwi kwa kuilamba🤣
Kwani kama kuna matatizo walifuata nini? Ninashawishika kuamini kwamba huwa wanatumwa.