Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Ni moja ya maazimio ya mkutano wa baraza kuu la uongozi uliokaa kwa siku kadhaa jijini dar es salaam.
Source; chanel ten habari
Kwa Dharau alioionyesha zito katika Zara yake ya kigoma hatakiwi kusamehewa hats kidogo. Hakuan demokrasia isiyokuwa na Nidhamu
Zito anasema kuwA kuna Watu walienguliwa kugombea cam wakahamia cdm na sasa wanajiona CDMA in Mali Yao,Je Anataka kutuaminisha kuna CDMA ya waanzilshi na wasiowaanzilishi? Anataka kutuaminisha Kwamba Yeye ni bora Kuliko mwananachma mwingine yeyote kwa sababu hajawahi Kuwa ccm