Lipumba ni professa ila ana pumba nyingi sana kuliko maelezo,si akaushe tu kuliko kujiweka uchi?,mbona anaidhalilisha tasnia da uprofesseri
Mbona walipotimuana na Hamadi Rashid hawakusululishana wala chadema haikuingilia mambo yao!
Lipumba alisuluhisha vipi mgogoro wa CUF na Rashid Hamid?
Mbona walipotimuana na Hamadi Rashid hawakusululishana wala chadema haikuingilia mambo yao!
Ben,Illiterate Prof.
Tangu lini hatua za kinidhamu zikageuka kuwa migogoro?
Kwa hiyo yeye alishindwa kumaliza mgogoro na Hamad Rashid?
Hawa ndio maprofesa wanafiki wanaochimbia weledi wao ardhini
Hawezi kufanya Rational Analysis
No zitto no cdm
Prof. Lipumba, Chadema wanacheza mchezo wa kuigiza wala wasikusumbuwe unless na wewe upo kwenye hii tamthilia.
Chadema waongo tu hawana lolote, wote wamoja.
Wanafifirisha sakata la Mwenyekiti wao kutembea na mbunge wake wa viti maalum kwa watu maalum.
cc Lilian Mbowe.
Lipumba ni professa ila ana pumba nyingi sana kuliko maelezo,si akaushe tu kuliko kujiweka uchi?,mbona anaidhalilisha tasnia da uprofesseri
Illiterate Prof.
Tangu lini hatua za kinidhamu zikageuka kuwa migogoro?
Kwa hiyo yeye alishindwa kumaliza mgogoro na Hamad Rashid?
Hawa ndio maprofesa wanafiki wanaochimbia weledi wao ardhini
Hawezi kufanya Rational Analysis
Ben,
Wewe kila unayetofautiana naye mitazamo ni mnafiki.
CHADEMA hawana busara, Lipumba ni msomi anayeona mbele, na anajua nini kitafuata iwapo CHADEMA wataendelea kumkorofisha Zitto. CHADEMA walikuwa wanafurahia kipindi CUF iko kwenye migogoro, lkn CUF haifurahii kuona CHADEMA ikigawanyika vipande vipande.
Kati ya maprofesa nisiowaelewa duniani Lipumba namba 1...
Mbona walipotimuana na Hamadi Rashid hawakusululishana wala chadema haikuingilia mambo yao!