nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Hahaha, kama hamjafanya je? Mwaamka kimya kimya au?
Mie mzima kabisa, hofu kwako! Ulipotelea wapi? Umeacha kulia?
Aisee Jf ilinifanya niwe na furaha kwa hiyo now niko nacheka
Hahaha, kama hamjafanya je? Mwaamka kimya kimya au?
Mie mzima kabisa, hofu kwako! Ulipotelea wapi? Umeacha kulia?
Kwani kuna ubaya gani mtu akiamka mrembo?
Lol stevoh! Kuna ubaya gani mtu akilala mrembo?
Lizzy ukijipodoa ukalala, waamka na vipodozi vyako?
Kulala na mtu kitanda kimoja halafu mnaamka asubuhi mnaulizana za asubuhi
Inategemea, kama kuna aliyelala pembeni ndie anaeonyeshwa urembo...
Mie sifikirii ujinga manake huwa sijipodoi
Ujinga ni kumchukia mtu asiyejua unamchukia...unaumwa weee mwenzio ana raha tu.....!
Kwa hizo hapo juu, ujinga ni hiyo ya mwisho....tupime bwana,kufa kupo tu hata kwa malaria....lol
sidhani kama huu ni ujinga
Kesho asubuhi tukutane pale ANGAZA, nilikuwa natafuta mtu wa kuniongoza, MJ1 alinikatisha tamaa lol.Ujinga ni kumchukia mtu asiyejua unamchukia...unaumwa weee mwenzio ana raha tu.....!
Kwa hizo hapo juu, ujinga ni hiyo ya mwisho....tupime bwana,kufa kupo tu hata kwa malaria....lol
Kesho asubuhi tukutane pale ANGAZA, nilikuwa natafuta mtu wa kuniongoza, MJ1 alinikatisha tamaa lol.
Kuanzia leo nikimchukia mtu namwambia ili ajue kabisaaa!