1. Kujiita romantic wakati uko single.
2. Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size.
3. Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva halafu unamwambia konda shusha.
4. Kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi.
5. Kupigiwa simu hafafu unaangalia balance yako.
6. Kutafuta remote ya TV for ten minutes wakati TV ipo karibu yako
7. Kupunguza sauti ya radio ili usome sms.
8. Kukataa kupima wakati unataka uishi kwa afya njema.
Huwa anavua suruali ofisini
au wanatumia open door policy kwenye choo cha ofisini?
Namniga.
Huyo mume atakuwa havai sarawili au?.. Ana lake jambo lol.
heheheee ...that is all Katavi? nilidhani ulihitimu kozi ya uandishiMwe....jamani!!
He watu watajuaje kama anavaa hiyo hiyo kwani havai suruali
Hahaha! Eti mume sharobaro lol.tena piga roba ya mbao akueleze anawaonyeshaga akina nani
heheheee ...that is all Katavi? nilidhani ulihitimu kozi ya uandishi
ndo ujiulize hayo maonyesho anayafanyia wapi...labda mume sharobaro huyo!!!