Lipi ujinga zaidi???

Lipi ujinga zaidi???

Kumwambia dereva/konda wa daladala msaada wakati wewe sio ombaomba
 
1. Kujiita romantic wakati uko single.

2. Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size.

3. Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva halafu unamwambia konda shusha.

4. Kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi.

5. Kupigiwa simu hafafu unaangalia balance yako.

6. Kutafuta remote ya TV for ten minutes wakati TV ipo karibu yako

7. Kupunguza sauti ya radio ili usome sms.

8. Kukataa kupima wakati unataka uishi kwa afya njema.

Kujiita msichana mtamu wakati ni mwanamke mchachu.
 
Huwa anavua suruali ofisini
au wanatumia open door policy kwenye choo cha ofisini?

Namniga.

tena piga roba ya mbao akueleze anawaonyeshaga akina nani

Huyo mume atakuwa havai sarawili au?.. Ana lake jambo lol.

Mwe....jamani!!
heheheee ...that is all Katavi? nilidhani ulihitimu kozi ya uandishi

He watu watajuaje kama anavaa hiyo hiyo kwani havai suruali

ndo ujiulize hayo maonyesho anayafanyia wapi...labda mume sharobaro huyo!!!
 
tena piga roba ya mbao akueleze anawaonyeshaga akina nani




heheheee ...that is all Katavi? nilidhani ulihitimu kozi ya uandishi



ndo ujiulize hayo maonyesho anayafanyia wapi...labda mume sharobaro huyo!!!
Hahaha! Eti mume sharobaro lol.
 
Back
Top Bottom