Ndio hapo sasa...
kupost thread mpya bila kupitia zingine wakati thread kama hiyo imeishapostiwa na zote ni copy n paste.
Lizzy ukijipodoa ukalala, waamka na vipodozi vyako?
Kumbe mwatakiwa kuulizana za mchana?...nitonye hebu nifundishe mwenzio!
Hahaha! MJ1 bora kupima afu uishi kwa matumaini bana...ingawaje ni kweli majibu mengine yanaeza kuleta presha..lolYote ni ujinga zaidi kuliko la mwisho, kukataa kupima wakati unataka kuishi zaidi.................majibu mengine yanawezafupisha maisha yako kwa presha lol!
labek'kah...Sobhuzaaaaaaa!!!!!
Hahaha! Chit chat OYEEEEE!