Hii ni ya baada tu ya uchaguzi na ilitolewa taarifa na RC mapema baada ya uchaguzi. Huyu fool anaileta kama imetokea leo.Maumivu huanza pole pole.
Unapozuia maandamano ya amani tegemea ya shari.
Wangewachoma moto kabisa!Ni ya siku nyingi hii baada tu ya uchaguzi na wote walishakamatwa na wako mikono salama. Usiilete kama ndiyo imetokea leo. You fool.
Karibu wanakufikia na ID zako kibao.Wawaue kabisa. Nyumba watajenga na kununua nyingine
Ni ya siku nyingi hii baada tu ya uchaguzi na wote walishakamatwa na wako mikono salama. Usiilete kama ndiyo imetokea leo.
Duhhhh.....
Haya sasa, tulisema ulikua wa uwazi na haki na haya ndio matokeo yake tunavuna tukicho kipanda.
Karibu wanakufikia na ID zako kibao
Ndiyo yalitokea na wahuni wote walipatikana na kushughulikiwa ipasavyo.Bado haiondoi Ukweli kuwa haya yalitokea baada ya Uchaguzi Mkuu.
Kwa kweli inahatarisha amani, hizi chuki za rejareja zitatufikisha pabaya.Maumivu huanza pole pole.
Unapozuia maandamano ya amani tegemea ya shari.
Kwani hao matendo wanafanya siyo ya kiuaji wewe?CCM mnawaza kuua tu.
Hii ni ya baada tu ya uchaguzi na ilitolewa taarifa na RC mapema baada ya uchaguzi. Huyu fool anaileta kama imetokea leo.
Ndiyo yalitokea na wahuni wote walipatikana na kusgughulikiwa ipasavyo.
Mtanyooka tu.Sawa Mkuu
Sawa malaika
Sawa wenye mamlaka
Sawa waheshimiwa sana na watukufu CCM.
Kama hakuna Vifo basi haya yanaweza kuwa ni planed kwa malengo maalum au kinyume chake ,na bado.