Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge

Niliwahi kusema kwamba maccm wanaweza tegemea vyombo vya dola kupita lakini ukweli ni kwamba watu wakiwaamulia wataofwatwa ni wao personally ,mali zao na ndugu zao hapo sasa hakuna polisi au uvccm wa kumlinda kila mtu.Waache kucheza na maslahi ya watu kwa kutegemea vyombo vya dola labda wangekuwa wanaishi kwenye makambi ya vyombo vya dola
 
Back
Top Bottom