ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,433
- 49,102
Niliwahi kusema kwamba maccm wanaweza tegemea vyombo vya dola kupita lakini ukweli ni kwamba watu wakiwaamulia wataofwatwa ni wao personally ,mali zao na ndugu zao hapo sasa hakuna polisi au uvccm wa kumlinda kila mtu.Waache kucheza na maslahi ya watu kwa kutegemea vyombo vya dola labda wangekuwa wanaishi kwenye makambi ya vyombo vya dola